comrade wetu
JF-Expert Member
- Nov 5, 2018
- 964
- 605
Ni typing error nilimaanisha Mbuge huo anaitwa Charles baba Kanali mstaafu Mbuge alikua CO Mikumi kikosi kileeeHuyo anaitwa Charles Mbuge na sio Mbugi kama alivyoandika mtoa mada.
Of course jamaa ni wachapa kazi sana 💪💪.
Twanga pepeta wamemwimba sana enzi zile akiwa na cheo cha Captain. Wakuitwa Captain Mbuge enzi za nyimbo kama Jirani, Kuolewa Majaliwa by Twanga pepeta😁😁