Rais Magufuli afuta sherehe za maazimisho ya siku ya UKIMWI, fedha zinunue dawa...

Ni sahihi watu wanatengeneza fulana na kugawiana miposho ya ajabu ajabu huku wakisingizia sherehe za kilele cha ukimwi duniani kimefana kweli
 
Pasco pita pande hizi
Huyu jamaa hana lengo jema na taifa hili!, ana wivu tuu na watu fulani fulani, hivyo anafuta maadhimisho mbalimbali ili kuwakomoa wafaidika, wafe njaa!.

Hili halikubaliki!, akizidisha tutakwenda kumshitaki kule kule jina lake lilipotoka na kupelekwa kwa JK!, vinginevyo tutakufa njaa!.

Watu hatuwezi kulingana, lazima wengine wapate na wengine wakose!.
Lazima wengine wafanye kazi na wengine wawafanyie kazi wengine!.
Lazima wawepo wenye nacho na wasio nacho!.
Lazima wawepo matajiri na masikini.
Kama vipi atangaze ukomunisti!, wenzao China na Urusi wameshindwa sasa huyu Magufuli anataka kutupeleka wapi?!.

Pasco
 
Huyu jamaa hana lengo jema na taifa hili!, ana wivu tuu na watu fulani fulani, hivyo anafuta maadhimisho mbalimbali ili kuwakomoa wafaidika, wafe njaa!.

Hili halikubaliki!, akizidisha tutakwenda kumshitaki kule kule jina lake lilipotoka na kupelekwa kwa JK!, vinginevyo tutakufa njaa!.

Watu hatuwezi kulingana, lazima wengine wapate na wengine wakose!.
Lazima wengine wafanye kazi na wengine wawafanyie kazi wengine!.
Lazima wawepo wenye nacho na wasio nacho!.
Lazima wawepo matajiri na masikini.
Kama vipi atangaze ukomunisti!, wenzao China na Urusi wameshindwa sasa huyu Magufuli anataka kutupeleka wapi?!.

Pasco

Nimecheka sana mkuu!
 
kutoa ushari ni kitu endelevu na hakipaswi kutengewa siku.Mtanzania alieko mbali na maadhimisho yanakofanyika anaupataje ushauri? kuhusu ushauri zijengwe VTC kila kituo cha afya kuleta effectivenss na sio kuadhimisha siku ili kutengeneza nafasi ya watu kujilipa posho
 
Yote kumi mimi nitakukubari zaidi nikiona umeweka limwenge linalo changia maambukizi makubwa ya ukimwi ukiliweka parking pale makumbusho yaani huwa hainiingii akilini kabisa eti sisi walala hoi mtuchangishe hela za mwenge thn unakuja una lala kijijin kazi zote zina simama jion mkesha wa disco watu wanafanya ngono zembe kutokana na mazingira.
Plz mr.president tuondolee mkosi huu wa mwenge tena ikibidi mzawade nyerere ukake kule butiama tunapo enda kuangaria kaburi lake tunaungasha vyote bt inshort gudjob mr.president
 
Lets assume Hazina haina hata shilingi mia (100)...unadhani serikali inashindwa kupata hela muda wowote inapojisikia? Ukijibu hili nitaelewa IQ yako ipoje.

Hilo 'swali' wewe unaweza ukaliita swali, lakini kwangu mimi si swali bali ni jibu la IQ yako ikijielekeza ilivyo...yaani majibu yamejileta bila kupimwa.
By the way, tujikie kwenye mjadala.
 
Acha uongo wako hapa! leo nilikuwa singida,maadhimisho hayo yamefanyika viwanja vya peoples.Labda ungesema Magufuli ameshindwa kuhudhuria.Ila chakushangaza walijaza tu wanafunzi wa sekondari.
Kweli Mbojo
 
Huyu jamaa hana lengo jema na taifa hili!, ana wivu tuu na watu fulani fulani, hivyo anafuta maadhimisho mbalimbali ili kuwakomoa wafaidika, wafe njaa!.

Hili halikubaliki!, akizidisha tutakwenda kumshitaki kule kule jina lake lilipotoka na kupelekwa kwa JK!, vinginevyo tutakufa njaa!.

Watu hatuwezi kulingana, lazima wengine wapate na wengine wakose!.
Lazima wengine wafanye kazi na wengine wawafanyie kazi wengine!.
Lazima wawepo wenye nacho na wasio nacho!.
Lazima wawepo matajiri na masikini.
Kama vipi atangaze ukomunisti!, wenzao China na Urusi wameshindwa sasa huyu Magufuli anataka kutupeleka wapi?!.

Pasco

Umeiandika kwa kebehi kidogo lakini message sent!!! Naona ukomunist wa North Korea utaokoa mabilioni zaidi.
 
Huyu jamaa hana lengo jema na taifa hili!, ana wivu tuu na watu fulani fulani, hivyo anafuta maadhimisho mbalimbali ili kuwakomoa wafaidika, wafe njaa!.

Hili halikubaliki!, akizidisha tutakwenda kumshitaki kule kule jina lake lilipotoka na kupelekwa kwa JK!, vinginevyo tutakufa njaa!.

Watu hatuwezi kulingana, lazima wengine wapate na wengine wakose!.
Lazima wengine wafanye kazi na wengine wawafanyie kazi wengine!.
Lazima wawepo wenye nacho na wasio nacho!.
Lazima wawepo matajiri na masikini.
Kama vipi atangaze ukomunisti!, wenzao China na Urusi wameshindwa sasa huyu Magufuli anataka kutupeleka wapi?!.

Pasco

Umeiandika kwa kebehi kidogo lakini message sent!!! Naona ukomunist kama wa North Korea utaokoa mabilioni zaidi.
 
Rais alielewa tofauti ya 'maadhimisho ya siku ya ukimwi duniani'
na 'sherehe za siku ya UKIMWI'?

Halafu kama bajeti ni miloni 20 ambayo ni kama mshahara na posho ya mbunge mmoja
ni kweli ttume save?

Jee hakuna umuhimu wa kuadhimisha siku hii?

je wahamasishaji wa kupiga vita ukimwi watumie siku ipi ?

Je kununua dawa ndio the best way ya kupiga vita UKIMWI?

Je maoni ya mashirika ya Afya ya kimataifa yanaendana na uamuzi wa Rais?

Je hatuwezi kubana matumizi bila ku interrupt maadhimisho?

Mkuu majibu ya maswali yako yanaweza kuonyesha kwamba uamuzi huu ungeweza kuwekwa tofauti kidogo.

Aidha, ni vyema tukajiuliza pia iwapo matayarisho ya hizi sherehe yalikuwa yaanze leo au yalikwishafanyika kitambo?
Kwa maana maamuzi haya yanaweza yakawa hayajaokoa kiasi hicho kilichotarajiwa kuokolewa.

Kama matayarisho ya hizi sherehe yalikwishaanza kitambo na naamini pesa nyingi tu imekwishatumika.
kuna bidhaa amabazo zilikwishatolewa oda na si ajabu advance payment zimekwishafanyika. Kama ni
bidhaa kama t-shirt nadhani zitakuwa zimekwishaandikwa mwaka 2015 hivyo hazitafaa kwa toleo la baadae.
wafanya biashara wamekwishakodi maeneo ya viwanja amabvyo wangeweka mabanda yao na huenda wamekwishalipa
pesa. n.k

nachelea kusema uamuzi huu unaweza kuokoa pesa kidogo kuliko ambazo taifa litazipoteza.
 
Mkuu majibu ya maswali yako yanaweza kuonyesha kwamba uamuzi huu ungeweza kuwekwa tofauti kidogo.

Aidha, ni vyema tukajiuliza pia iwapo matayarisho ya hizi sherehe yalikuwa yaanze leo au yalikwishafanyika kitambo?
Kwa maana maamuzi haya yanaweza yakawa hayajaokoa kiasi hicho kilichotarajiwa kuokolewa.

Kama matayarisho ya hizi sherehe yalikwishaanza kitambo na naamini pesa nyingi tu imekwishatumika.
kuna bidhaa amabazo zilikwishatolewa oda na si ajabu advance payment zimekwishafanyika. Kama ni
bidhaa kama t-shirt nadhani zitakuwa zimekwishaandikwa mwaka 2015 hivyo hazitafaa kwa toleo la baadae.
wafanya biashara wamekwishakodi maeneo ya viwanja amabvyo wangeweka mabanda yao na huenda wamekwishalipa
pesa. n.k

nachelea kusema uamuzi huu unaweza kuokoa pesa kidogo kuliko ambazo taifa litazipoteza.



Nashkuru kwa kuwa muelewa
wengine wengi wamebaki ushabiki tu
 
Wakuu
naomba kufaham kesho siku ya ukimwi kuna kazi au?ninachofaham zilizofutwa ni matumizi ya hela za siku ya ukimwi,naomba ufafanuzi wafanyakazi wa serikali wanasema kesho hapa kazi tu wengine mapumziko
 
Kesho ni siku ya kuwasafisha na kuwanywesha uji
waathirika wote wa UKIMWI , kwani ndiyo namna
bora ya kuwaenzi. Kwahiyo wafanyakazi wa serikali
na taasisi binafsi zinatakiwa kwenda hospitali , majumbani na
vituo vya kutolea dawa za kupunguza makali ya ARV.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom