alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Rais Magufuli amefungua msikiti wa Sumbawanga na kuwataka waislamu kuendelea kuwa wamoja na kudumisha upendo miongoni mwao na kwa wale wasio waislamu.
Kadhalika Rais Magufuli amewashukuru waislamu kwa kumpa heshima ya kufungua msikiti huo na kusema huo ni upendo wa dhati ikizingatiwa kuwa yeye ni mkristo.
Katika ufunguzi wa msikiti mpya wa bomani huko Rukwa,Sumbawanga mjini Rais Magufuli amemtaka mlinzi wake aombe kwa ajili ya kusanyiko lile.
Kadhalika Rais Magufuli amewashukuru waislamu kwa kumpa heshima ya kufungua msikiti huo na kusema huo ni upendo wa dhati ikizingatiwa kuwa yeye ni mkristo.
Katika ufunguzi wa msikiti mpya wa bomani huko Rukwa,Sumbawanga mjini Rais Magufuli amemtaka mlinzi wake aombe kwa ajili ya kusanyiko lile.