Void ab initio
JF-Expert Member
- Mar 1, 2015
- 5,703
- 5,635
Hahaaaaa Mkuu umenifurahishaIjue nguvu ya Limbwata!
Hahaaaaa Mkuu umenifurahishaIjue nguvu ya Limbwata!
Cheo ni dhamana. Kuna watu hawafahamu.Jaman hivi vyeo hatari... Jamaa analia anawaza mjengo na ofis alio karabati anamuachi mtu mwingine.... Jaman nkoa nkoa
Yuko Sweden..Ubelgiji kuko wazi..ndio hatujui ataenda nani kati ya wateuliwa..Hivi Dr Slaa ndo alikuwa Ubelgiji?
Kigogo alisema yupo under house arrest na kwamba soon anaburuzwa mahakamaniKuhusu Kp kupewa ubalozi lilishasemwa na Kigogo baada ya kupigwa chini.
Swahiba wewe ndo unaibu katibu wizara ya maji?Huyo huyo...Kapewa u RAS
Hatuwezi kutumia siku nzima kuangalia bunge mkuuKila siku teuzi tu tumeshachoka!!
Yaani uteuzi unatangazwa live, alafu Bunge liko gizani na wajinga wanaamini huu ndio uongozi unaotufaa!!
Sasa unataka nijilipuee ila jua nimeula hapo...Wahandisi wenye akili hatuachwagi kizembe. Hapo nimepanda ka step!Swahiba wewe ndo unaibu katibu wizara ya maji?
Duu wametuachia zigo letu tupambane naloOhooo
NI KWELI, AVUMAE BAHARINI KUMBE WENGINE WAPO. ANachosema kifinga ni kweli, wapo watu wazalendo na wachapakazi kwelikweli lakini mamlaka ya uteuzi hawajuiDa jamaa jina langu sijui walipeleka au ndio ilikua ahadi hewa mheshimiwa akiniteua naahidi sitamuangusha mi ntakua nalala site yani nikipata uteuzi tu napitia mlimani city nanunua tent langu naweka kwenye v8 kazi inaanza
Wamekupeleka Burigi kuwa afisa pori.
[/QUOT
Hahahah
Una ufala mwingi ujue😅😅😅
Umesahau leo ni weekendAngesubiri jpili , ndio tushaizoea kupokea taarifa za Msigwa.
Siku Msigwa akitumbuliwa inabidi taarifa aache ameiandika mwenyewe.
Huwa anaona rahaaaa kuleta habari mbaya. Aaaaaaaaaaah.
Sijui kwa nini Dar inadharaulika kiasi hiki. Kwa hadhi na umuhimu wa Mkoa wa Dar, ilihitaji mkuu wa mkoa mwenye uwezo na uelewa mkubwa zaidi ya aliyepo na hata huyo uliyemtaja.Joketi akipata nafasi anaweza kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar bora kuliko Bashite.
Usiwe Mtumwa wa Kigogo. Ni kigogo huyohuyo alisema KP yuko chini ya ulinzi. Kingine inatakiwa ujue swala la kiongoz kutumbuliwa na kupewa cheo kingine ni kawaidaKuhusu Kp kupewa ubalozi lilishasemwa na Kigogo baada ya kupigwa chini.
Kwani makonda ana tatizo gani mkuu?Ila alisema watapangiwa kazi zingine
Tatizo Makonda sijui kamlisha nini huyu Magufuli?
Yule umri wa kustafu ulishapita muda mrefuBado Le Mutuz hajakumbukwa tu wajameni
balozi wa ubelgiji alikuwa anamsaidia sana Lissu, pi alikuwa anaandaa malazi kwa watu waliokuwa wanamtembelea lissu, jiwe kanunaBalozi wa ubelgiji, south out