Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,105
- 18,005
Siyo lazima utetee kila kitu. Inawezekana kabisa kuwa na utaratibu mzuri wa kuteua na kuapisha watu bila kuahatarisha usalama wao.
Wote hao hakuna mgeni hapo ambae hajawahi kuitwa ghafla tamisemi dodoma
Halafu nchi.yetu ni lami tupu