Mmmmmmhhhh??? Humphrey polepole from TISS???Humphrey pole pole that Man also came from TISS, i think Magesa Mulongo has more thing to say about that...
Watch out.
Kwa maelezo hayo kwa miaka 55+++ mimi simo usinihesabuHiki Chama ni mfano Afrika na dunia nzima! Ccm ni taasisi iliyojitosheleza! Inayosimamia haki na maendeleo kwa watu inaowaongoza!
Kwani hata kikao cha chama si kiliratibiwa na jumba jeupeNimeshangaa kikao cha chama kinatolewa taarifa na Msigwa badala ya Polepole.
Hiyo ndio raha ya kuwa chama tawala. Ndio chama chenye serikali au hujui?
Nyie endeleeni tu kutoa matusi mwisho wake uzee utapiga hodi CCM bado ikiwa juu.
CCM oyeeee!!! Kidumu chama cha mapinduzi: Kidumu na kitaendelea kudumu.
Haki ya kumwacha lowasa agombee urais kupitia Chadema! Haki ya kumwacha Sumaye awe mwenyekiti wa chadema mkoa wa pwani! Haki ya kumwacha kingunge kwenda Chadema!Haki ya kula rambirambi za Bukoba,
Haki ya kufumbia macho Lugumi.
.....
.....
CCM ni chama kilichotokana na wanyonge lazima kionekane kumilikiwa na watu wa namna hiyo...
Rushwa idhibitiwe na mtu achaguliwe kwa sifa zake nzuri hapo tutafanikiwa...
Kidumu Chama cha Mapinduzi.
Nime quote ya kwako kabisa. Sasa hoyee maana yake nini?Mkuu matusi yako wapi hapo kwenye post yangu? Au unajibu post ya mtu mwingine?
Je unauthibitisho kwa hili unaloliongea? Au ndio dalili za kuwehuka!?Chama chenu mnachaguana kama mnachagua watumishi wa kigango au parokia
Ndg Yangu macho huna hata kusikia huskii anza kujiuliza nani mwenyeji wa hiyo shughuli then uje na hoja kama hiyo ya kiukawa kwani lazima uchangie hata kama huna hojaKwakuwa Polepole Ni msemaji wa chama taarifa hii haikupaswa kusemewa na Ikulu bali Polepole Mwenyewe Kwa nafasi yake katika chama.
Wameanza Kwa mguu mbaya, Hakuna cha maana hapo!
Nime quote ya kwako kabisa. Sasa hoyee maana yake nini?
Nikakuuliza hujui CCM ndio yenye serikali? Kwanini tusivae nguo za kijani?
Kwanza. CCM huwa tunasalimiana na kuitikia oyeeee!! Hilo neno la hoye umelitoa wapi kama sio mwendo wenu wa kutoa matusi!?Hapo utakuwa unanionea, hoyee ni matusi ama ni salamu ya chama cha mapinduzi? Mimi sina shida na hiyo salamu yao ila itumike kwenye shughuli za ccm pekee na wala sio kwenye miradi ya maendeleo kwani kodi za wananchi wote bila kujali itikadi za kisiasa.
Je unauthibitisho kwa hili unaloliongea? Au ndio dalili za kuwehuka!?
Kwanza. CCM huwa tunasalimiana na kuitikia oyeeee!! Hilo neno la hoye umelitoa wapi kama sio mwendo wenu wa kutoa matusi!?
Pili CCM ndio yenye serikali. Kwahiyo kazi zote za serikali ni kutimiza ilani ya chama cha mapinduzi. Kwa hiyo kutenganisha ccm na serikali haipo. Subirini na nyie kama mtaweza ingia ikulu.
CCM oyeeee!!.
Nadhani unaelekea kuwehuka maana haijulikani hata uongeleachoUshahidi gani unataka zaidi ya huo wa kwenye picha?
Polepole amevaa shati oversizeRais Magufuli leo amefanya mazungumzo na viongozi 3 wa CCM aliowateua kujaza nafasi wazi katika safu ya uongozi ya chama ngazi ya taifa.
Oyeee!!!Mkuu unajua kujenga hoja!! achia mbali jinsi ulivyo vizuri kwenye upande wa kiswahili fasaha. Samahani kwa tusi la Hoye jf isije ikafungwa kwa matusi. Annael oyeeee.
Kwa hiyo TISS nakuwa Mwenezi wa Chama sio ?Humphrey pole pole that Man also came from TISS, i think Magesa Mulongo has more thing to say about that...
Watch out.