Mtemikwila
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 1,388
- 1,058
Then you can either go kick rocks or pound sand.
The choice is yours.
Then you can either go kick rocks or pound sand.
The choice is yours.
Sala ya mnafiki huishia hewani.
Atakufaje wakati hajapokea Dilimulaina mpya?Asiwadanganye huyu Nyani Ngabu
''Hii ni recorded video, Magufuli yuko kwenye chumba namba 308 hospitalini Ujerumani''! ''Kwa sasa Lugalo wanafanya maandalizi kupokea mwili wake''!
Alisikika mpuuzi mmoja akisema!
Hii nchi ina vituko!
Bibi yako
Kama imekuuma kufaaAnd Bibi yangu has got what to do with your ugly foolish ass?
My bibi dont care hoot ass of anybody in this lying directionless govt!
HahahahahahAsiwadanganye huyu Nyani Ngabu
''Hii ni recorded video, Magufuli yuko kwenye chumba namba 308 hospitalini Ujerumani''! ''Kwa sasa Lugalo wanafanya maandalizi kupokea mwili wake''!
Alisikika mpuuzi mmoja akisema!
Hii nchi ina vituko!
Nchi imekumbwa na ugonjwa wa kupenda mambo ya kipuuzi.Asiwadanganye huyu Nyani Ngabu
''Hii ni recorded video, Magufuli yuko kwenye chumba namba 308 hospitalini Ujerumani''! ''Kwa sasa Lugalo wanafanya maandalizi kupokea mwili wake''!
Alisikika mpuuzi mmoja akisema!
Hii nchi ina vituko!
Huyo jamaa anavuta bangi iliyochanganywa na kinyesi cha mbwa.Kama imekuuma kufaa
Leo Rais Magufuli alienda kuhani msiba wa James Mapalala.
Awe mzima awe marehemu hakuna anayeshoboka naye,Anaonekana yuko fiti kabisa.
Si ajabu labda alipata mafua tu na akaamua apumzike kidogo.
Na hapo labda ndo wale wazushi wakapata mwanya wa kuzusha uzushi wao.
Kuna kipindi hata Jenerali Mwamunyange alizushiwa mambo kama haya haya.
Kama imekuuma kufaa
Ya ni kweli, kama kuteka, kuua, kupiga watu risasi ovyoNchi imekumbwa na ugonjwa wa kupenda mambo ya kipuuzi.
Hiyo ni video shopWanasema hiyo ni recorded.
Hiyo si hoja yenye nguvu, hoja yenye nguvu hapa ni kwanini watu wamchukie Magufuli kiasi cha kumwombea kifo?Asiwadanganye huyu Nyani Ngabu
''Hii ni recorded video, Magufuli yuko kwenye chumba namba 308 hospitalini Ujerumani''! ''Kwa sasa Lugalo wanafanya maandalizi kupokea mwili wake''!
Alisikika mpuuzi mmoja akisema!
Hii nchi ina vituko!
Sema ufipaHiyo si hoja yenye nguvu, hoja yenye nguvu hapa ni kwanini watu wamchukie Magufuli kiasi cha kumwombea kifo?
Nyerere hakuombewa kifo
Mkapa hakuombewa kifo
Kikwete hakuombewa kifo
Ni kwanini iwe Magufuli tu?
Hiyo ndo hoja hasa.
mapalala aliwekwa kizuizini na huyo anayeitwa mfalme nyerere kule mafia. zito na mbowe wote wanakesi za kubambikiwa kisa wanatofautiana mawazo na maiti anayetembea.JPMTofauti na akina Mbowe na Zitto rip Mapalala alikuwa mpinzani wa kweli!