Mei mosi ni kuanza kwa zoezi la usajili....Lini alisema hayo? Maana wengi tinajua ile ya ujumbe wa Mei Mosi.
Mkuu ungeiweka basi tuijueNaikumbuka katuni ya masudi kipanya!
Rudia soma ulichokiandika, mtu ataelewa nini?Hujaelewa na kwasababu akilu yako ulishaiset kutoelewa basi hitaelewa
Hujamwelewa.Hata TCRA walisema mwisho ni Dce 31 na Kenge Wa Lugola alifafanua hivyo bungeni. Rais kasema usajili wa laini kwa kitambulisho cha taifa uendane na usajili wa vitambulisho vya taifa na ifikapo dec 31 kama NIDA hawajakamilisha usajili basi usajili wa laini kutumia vitambulisho vya taifa utakuwa hauna maana.Amesema watanzania wapo milion 55 lakini waliosajiliwa NIDA ni million 15 tu.
Hivyo tangazo la TCRA kuwa mwisho tarehe 1 mwezi wa tano itapelekea watanzania zaidi ya milioni 25 kukosa haki ya kumiliki mawasiliano.
Ameongeza muda mpaka tarehe 31 mwezi wa kumi na mbili, hata hivyo muda utakuwa mwisho endapo usajili wa vitambulisho utakuwa umekidhi vigezo.
Kama usajili haujakamilika watu waendelee kumiliki simu zao mpaka NIDA watakapokamilisha usajili wa vitambulisho.
Tatizo lako wewe ni shujaa mjinga.endelea kumuelewaKuna muda huyu mkuu uwa namuelewa sana tatizo waliomzunguka
His mbona TCRA walishatoa ufafanuzi Kuwa mwisho no December 2019?Amesema watanzania wapo milion 55 lakini waliosajiliwa NIDA ni million 15 tu.
Hivyo tangazo la TCRA kuwa mwisho tarehe 1 mwezi wa tano itapelekea watanzania zaidi ya milioni 25 kukosa haki ya kumiliki mawasiliano.
Ameongeza muda mpaka tarehe 31 mwezi wa kumi na mbili, hata hivyo muda utakuwa mwisho endapo usajili wa vitambulisho utakuwa umekidhi vigezo.
Kama usajili haujakamilika watu waendelee kumiliki simu zao mpaka NIDA watakapokamilisha usajili wa vitambulisho.
Unaona umemtukana bila sababu akikurudishia ? jifuze kuwa na kauli nzuri . hiyo sentensi siyo nzuri hata kidogo.La sicyo hata mkeo watakuumizia majirani.
Watendaji wetu wana nidhamu ya yoga, haiwapi nafasi ya kuchemsha bongo zao. Mwingine boss wa TRA kasema mwisho wa pombe zisizo na sticker za electronic ni mwezi huu. Si waziri wa viwanda wala wa fedha, wote wako kimya, hata wa kusema wenye hizo chupa wanunue sticker, hakuna, wanamsubiri rais.Asema zoezi liendelee hadi december hapa naona huwa hakuna mawasiliano maana ni kutengua ili kupata credit
“Unaposema lazima watanzania wasajili laini za simu kwa kitambulisho cha taifa na wakati NIDA hawajamaliza kutoa vitambulisho kwa watanzania hii haiwezekani, lazima zoezi la kutoa vitambulisho liende na usajili”Rais Dkt.Magufuli ziarani Mbeya.
Mkuu, kwanza si kweli mwisho wa usajili ni trh 01/05/2019.hiyo ni tarehe ya kuanza usajili,mwezi wa 09 mwaka huu wa 2019 watahakiki idadi ya wasajiliwa,na mwezi wa 12 mwaka huu wa 2019 waziri alidai laini ambazo zitakua hazijasajiliwa mamlaka ya mawasiliano nchini watazima laini zisizo na usajili,Amesema watanzania wapo milion 55 lakini waliosajiliwa NIDA ni million 15 tu.
Hivyo tangazo la TCRA kuwa mwisho tarehe 1 mwezi wa tano itapelekea watanzania zaidi ya milioni 25 kukosa haki ya kumiliki mawasiliano.
Ameongeza muda mpaka tarehe 31 mwezi wa kumi na mbili, hata hivyo muda utakuwa mwisho endapo usajili wa vitambulisho utakuwa umekidhi vigezo.
Kama usajili haujakamilika watu waendelee kumiliki simu zao mpaka NIDA watakapokamilisha usajili wa vitambulisho.
Hapa umemuelewaje!?Kuna muda huyu mkuu uwa namuelewa sana tatizo waliomzunguka
Return kwani TCRA walisemaje, this is out of my sight please!