T2015CCM
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 7,931
- 987
ametoa agizo hilo katika hotuba yake akiwa katika ziara ya siku tatu mkoani pwani.amesema ni marufuku mfungwa kulala na kutoka gerezani akiwa na kitambi, wafanye kazi ngumu ili waogope kwenda kwenda huko, na wakienda huko gerezani wajifunze uchapakazi na pia wafanye kazi za uzalishaji mali. wailishe nchi sio wao ndio walishwe na watanzania.