Rais Magufuli: 5,000/= wanazoomba trafiki barabarani hazina shida, ni hela ya kubrashia viatu

amani iwe kwenu wakuu,nimemsikia rais Magufuli akisema pesa wanazochukua trafiki barabarani hazina shida ni za kung`arishia viatu,hii imekaaje kauli hii sio kwamba anahalalisha rushwa nawaza tu! je uelewa wa rais kuhusu rushwa ni mdogo au alipitia tu maana kwa maelezo yake rais anaamini rushwa ni ile kabda inayohusisha kiwango kikubwa cha fedha? rais wangu magufuli omba radhi na ufute kauli yako hii tata ambayo inachochea rushwa kuongezeka zaidi..kwa kauli hii ni waziwazi rais magufuli amewapa vichwa trafiki barabara kuendelea kuomba rushwa! rais wangu magu uongoz unahitaji hekma sio kila ni cha kuzungumza!

Mkuu kama kweli ulimsikiliza Magufuli hakusema hivyo. Jamani hata mtu kama humpendi usimlishe maneno. Ni kitu kibaya sana.
 
Kwani hiyo ndio main topic au ilikuwa kipande cha story tu kuelezea jambo kubwa?!! Machadema akili zenu sawa na za ng'ombe.



Na wewe ficha ujinga wako acha uchama kasema serikalini kuna rushwa kubwa zaid ya bilions iweje tumpigie kelele polis aliyechukua buku 5 labda kaenda kubrush kiatu hapo kwanza anahalalisha rushwa kwa rushwa we huoni kama rais kakengeuka? Toka lini kuna rushwa ya nafuu na hatar? Anaetoa rushwa wakat gar lake bovu au halijalipiwa ushuru huoni kama yupo chaka?

Yani mi ccm akili zenu sijui mnahifadhi wapi nyie kila kitu ni ndio.
 
Where does corruption begin? Two billion shillings? Three? Four?

Magufuli is in danger of trying to be "Comedian in Chief" instead of "Commander in Chief". We must be careful not to send the wrong message, even in joking. A citizen can afford to joke around. But as Nyerere once said, for a Head of State, even sneezing gets world wide attention. This news about joking around with traffic police has already sent a signal to traffic police that getting a small bribe is OK. Magufuli was elected to stand for the rule of law. Yet again he is undermining that very rule of law. If he wanted to be a joker he could have auditioned for a "Ze Comedy" type of show.

I understand that even a leader needs a sense of humor. We cant stomach a wooden president. But on the same token, I for one cannot stand a president who is arbitrary, inconsistent and who sends mixed signals on the war against corruption. If Magufuli can joke on this serious matter like this in public, I wonder what does he authorize verbally in private. Once again, Magufuli shows how unprepared and inconsistent he is. This is why I said expecting consistency from Magufuli is worse than expecting blood from a stone.

If you want to joke, at least be smart and funny. Do not joke about your oath of office. That is simply dumb.
 
Na wewe ficha ujinga wako acha uchama kasema serikalini kuna rushwa kubwa zaid ya bilions iweje tumpigie kelele polis aliyechukua buku 5 labda kaenda kubrush kiatu hapo kwanza anahalalisha rushwa kwa rushwa we huoni kama rais kakengeuka? Toka lini kuna rushwa ya nafuu na hatar? Anaetoa rushwa wakat gar lake bovu au halijalipiwa ushuru huoni kama yupo chaka?

Yani mi ccm akili zenu sijui mnahifadhi wapi nyie kila kitu ni ndio.

Mkuu, kuna watu humu ndani hata JPM akitoa kauli ya kuhalalisha ubakaji watamsapoti. Huo ndio ukweli
 
Nilichokisema ni kwamba wewe una matatizo labda ya euelewa, jiulize kwa nini wewe peke yako ndiyo umelisikia hilo? Kwa nini halijajadiliwa hilo hapa JF tangu Hotuba itolewe? Kwa nini wewe ndiyo ulilete?
Ina maana hukumsikia rais kabariki trafiki kula rushwa ya 5000. We vipi!?, yaani mtu akishakuwa nyumba wa kijani anakuwa anashangilia hata kwa jambo la ovyo. Mie nilikamatwa juzi na trafiki ikanitoka 3000 tena kwa kulazimishwa halafu unasema hatujamuelewa
 
Sijathibitisha maneno hayo lakini kama ikiwa kweli, sidhani kama ni maneno ya busara especially kwamba matrafiki wenyewe ni wenye kupandikiza makosa na kukutafutia sababu.
 
Sijathibitisha maneno hayo lakini kama ikiwa kweli, sidhani kama ni maneno ya busara especially kwamba matrafiki wenyewe ni wenye kupandikiza makosa na kukutafutia sababu.
mkuu ni kweli katamka maneno hayo ya kuhalalisha rusha ndogo ndogo
 
Kwani hiyo ndio main topic au ilikuwa kipande cha story tu kuelezea jambo kubwa?!! Machadema akili zenu sawa na za ng'ombe.
Rais anatakiwa awe consistent kwenye kukemea rushwa.

Sio leo anakemea rushwa, kesho anasema elfu tano poa.

Hatakiwi kusema elfu tano poa hata kwa utani kwenye kibwagizo cha pambio la jaramba la taarabu kwenye faragha ya chini Bwawani.

Zaidi ya yote, kupinga rushwa si u CHADEMA. Ni kupenda haki na uzalendo.

Mimi sina chama, sijawahi kuwa na chama na inaelekea sitakuwa na chama Tanzania.

Lakini naona ubaya wa kauli hiyo ya rais.

Kwa hiyo usihusishe kupinga hii kauli na CHADEMA.

Kuna watu hatuna chama tunafuata kanuni tu.

Magufuli alichaguliwa kupiga vita rushwa na kusimamia utawala wa sheria.

Anachofanya kwa kauli kama hii ni kuuhujumu utawala wa sheria na kupigia chapuo rushwa.
 
Mkuu kama kweli ulimsikiliza Magufuli hakusema hivyo. Jamani hata mtu kama humpendi usimlishe maneno. Ni kitu kibaya sana.



Masikio yako sio mazuri kafananisha rushwa kubwa na ndogo za buku 5 kamalizia kwa nini tumlilie wa buku 5 wakat wa bilions yupo huru? Hapo maana sasa ukila buku 5 kama trafik ni halali!! Sikiliza kuanzia pale penye mtu kapewa tenda ya kombat za polisi hayo kayaongea kama road lisence yako ime-expire na ukafanikiwa kumpa trafik buku 5 upo free hii ina maana mapato tra wanakosa. Raisi kakengeuka.
 
Rushwa ni rushwa, hapo mkuu wa kaya kajichanganya, huku mtaani watoto wanaharibiwa maisha yao kwa kuhongwa bukubuku na vichips yai.

Kwa kuwa mkuu kabariki acha tupigwe mabao tu huku njiani, zaman walikuwa wanaomba ya maji ikiwa ni mchana usiku ya kahawa sasa watabadirisha kamsamiati kidogo
"Ya kiwi"
 
Rais anatakiwa awe consistent kwenye kukemea rushwa.

Sio leo anakemea rushwa, kesho anasema elfu tano poa.

Hatakiwi kusema elfu tanonpoa hata kwa utani kwenye kibwagizo cha pambio la jaramba la taarabu kwenye faragha ya chini Bwawani.

Zaidi ya yote, kuoinga rushwa si u CHADEMA. Ni kuoenda haki na uzalendo.

Mimi sina chama, sijawahibkuwa na chama na inaelekea sitakuwa na chama Tanzania.

Lakini naona ubaya wa kauli hiyo ya rais.

Kwa hiyo usihusishe kupinga hii kauki na CHADEMA.

Kuna watu hatuna chama tunafuata kanuni tu.

Magufuki alichagukiwa kupiga vita rushwa na kusimamia utawalanwa sheria.

Anachofanya kwa kauli kama hii ni kuuhujumu utawalanwa sheria na kupigia chapuo rushwa.

kula tano mkuu. kumbe wenye msimamo huo tupo kadhaa...nilijua ni mie tu
 
Nilichokisema ni kwamba wewe una matatizo labda ya euelewa, jiulize kwa nini wewe peke yako ndiyo umelisikia hilo? Kwa nini halijajadiliwa hilo hapa JF tangu Hotuba itolewe? Kwa nini wewe ndiyo ulilete?

We jamaa kweli dishi limeyumba kwa vile wengine wamekaa kimya hawajalileta humu unataka na mleta mada abaki kimya asiliongelee kwa mtizamo wako yawe yanaletwa mambo mazuri tu yanayomhusu Magufuli ila ya kumkosoa yawe yanapotezewa?
 
Amani iwe kwenu wakuu,nimemsikia Rais Magufuli akisema pesa wanazochukua trafiki barabarani hazina shida ni za kung`arishia viatu.

Hii imekaaje kauli hii sio kwamba anahalalisha rushwa? nawaza tu!

Je, uelewa wa Rais kuhusu rushwa ni mdogo au alipitia tu maana kwa maelezo yake Rais anaamini rushwa ni ile labda inayohusisha kiwango kikubwa cha fedha?

Rais Magufuli omba radhi na ufute kauli yako hii tata ambayo inachochea rushwa kuongezeka zaidi.Kwa kauli hii ni wazi wazi Rais Magufuli amewapa vichwa trafiki barabara kuendelea kuomba rushwa! Rais Magu uongozi unahitaji hekima sio kila ni cha kuzungumza!
Ndugu yangu,usitegemee kabisa mkuu wa nchi kujitokeza na kuomba radhi..
 
Yaani sikuamini masikio yangu alipoibariki hiyo rushwa, nafikiri muda si mrefu atakimbilia clouds kukanusha kama alivyofanya kondakta alipokana matapishi yake
 
Amani iwe kwenu wakuu,nimemsikia Rais Magufuli akisema pesa wanazochukua trafiki barabarani hazina shida ni za kung`arishia viatu.

Hii imekaaje kauli hii sio kwamba anahalalisha rushwa? nawaza tu!

Je, uelewa wa Rais kuhusu rushwa ni mdogo au alipitia tu maana kwa maelezo yake Rais anaamini rushwa ni ile labda inayohusisha kiwango kikubwa cha fedha?

Rais Magufuli omba radhi na ufute kauli yako hii tata ambayo inachochea rushwa kuongezeka zaidi.Kwa kauli hii ni wazi wazi Rais Magufuli amewapa vichwa trafiki barabara kuendelea kuomba rushwa! Rais Magu uongozi unahitaji hekima sio kila ni cha kuzungumza!
Mimi nilivyomwelewa rais sio kwamba amehalalisha rushwa, ila amesema traffic anapokaa njiani, ananyeshewa na mvua na ww kwa mapenzi yako ukamuonea huruma ukampa sh 5,000/= hiyo utasema ni rushwa ? ni kama vile wewe au mimi katika sehemu ya utafutaji wa riziki, akitokea msamaria mwema akikupa asante ya 5,000 hiyo utaita rushwa ? Mwalimu anapofundisha darasani mara nyingi huwa kila mwanafunzi anaondoka na uelewa tofauti. Mimi nimemuelewa rais kuwa kumpa mtu pole/asante kwa ridhaa yako sio mbaya, na hajatamka traffic akuombe hela, ila kama utamuonea huruma wakati ananyeshewa na mvua akiwa barabarani utoe kwa mapenzi yako kama motisha
 
Back
Top Bottom