Pagan Amum
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 1,932
- 4,395
Kampeni za Lisu zimekushtua na zimeishutua CCM kuwa wananchi wengi hawakuridhika na namna ulivyoongoza katika kipindi hiki cha awamu ya kwanza. Tumekaa na kufikiria tumeona tukupe kura as the last warning kwa CCM. Kama haya hayatafanyiwa kazi basi 2025 CCM isihangaike hata kuweka mgombea.
1. Ajira kwa vijana. Sio uajiri tu walimu na madaktari. Kumbuka kuna kada lukuki vyuo vinazalisha kila mwaka
2. Kufufua private sectors na kuacha kuua private sectors tena
3. Kupandisha mishahara kwa watumishi wote na kuwapandisha madaraja yao
4. Taasisi za serikali na vyombo vya dola kama SUMA JKT, Magereza au NHC waache mara moja kupewa kazi bila kupitia ushindani. Tendering process
5. Ulipe madeni yote ya ndani. Hasa kwa supplies na contractors wote wanaodai serikali. Wengine zaidi ya miaka 5 wanadai
6. Ondoa Bashiru na Polepole hapa kwenye Chama
7. Focus kwenye maendeleo ya watu na sio vitu
8. Mpango asirudi wizara ya Fedha. Katupoteza sana hii miaka 5. Ndio maana njaa imetamalaki sana kwa wananchi na ndio tafsiri ya nyomi anayopata Lissu huko mkoani
9. Lazima ubadili baadhi ya sheria za sera kandamizi
10. Wale wasiojulikana washughulikiwe big time.
11. TRA ifumuliwe ili iwe mkusanyanyi friendly na sio kama wanavyofanya kazi sasa.
Tulivumilia hii miaka 5 tukaonekana wajinga. But katika hizi kampeni tumejaribu kutuma msg kupitia mikutano ya Lissu. Hivyo, basi tunaomba uyafanyie hayo kazi ili 2025 tuje tufanye kweli. Wewe ni mtu mwema sana ila ulizungukwa na viongozi wengine wa ajabu sana na ndio wamekuharibia. Like Mpango, Bashiru, Polepole na wale wengine kama Sabaya.
1. Ajira kwa vijana. Sio uajiri tu walimu na madaktari. Kumbuka kuna kada lukuki vyuo vinazalisha kila mwaka
2. Kufufua private sectors na kuacha kuua private sectors tena
3. Kupandisha mishahara kwa watumishi wote na kuwapandisha madaraja yao
4. Taasisi za serikali na vyombo vya dola kama SUMA JKT, Magereza au NHC waache mara moja kupewa kazi bila kupitia ushindani. Tendering process
5. Ulipe madeni yote ya ndani. Hasa kwa supplies na contractors wote wanaodai serikali. Wengine zaidi ya miaka 5 wanadai
6. Ondoa Bashiru na Polepole hapa kwenye Chama
7. Focus kwenye maendeleo ya watu na sio vitu
8. Mpango asirudi wizara ya Fedha. Katupoteza sana hii miaka 5. Ndio maana njaa imetamalaki sana kwa wananchi na ndio tafsiri ya nyomi anayopata Lissu huko mkoani
9. Lazima ubadili baadhi ya sheria za sera kandamizi
10. Wale wasiojulikana washughulikiwe big time.
11. TRA ifumuliwe ili iwe mkusanyanyi friendly na sio kama wanavyofanya kazi sasa.
Tulivumilia hii miaka 5 tukaonekana wajinga. But katika hizi kampeni tumejaribu kutuma msg kupitia mikutano ya Lissu. Hivyo, basi tunaomba uyafanyie hayo kazi ili 2025 tuje tufanye kweli. Wewe ni mtu mwema sana ila ulizungukwa na viongozi wengine wa ajabu sana na ndio wamekuharibia. Like Mpango, Bashiru, Polepole na wale wengine kama Sabaya.