Rais kuweka viraka kwenye Baraza la Mawaziri bila kuanza kulivunja lote yupo sahihi au?

Shark

JF-Expert Member
Jan 25, 2010
29,459
29,153
Katika siku za karibuni baada ya kuondokewa na mpendwa wetu Dk Magufuli, TLS walitoa waraka wa kumtaka Mheshimiwa Samia aunde Baraza jipya la mawaziri ili wote waliopo waape mbele yake.

Hii Ina maana pamoja na waziri mkuu pia litakiwa hata Kama ataendelea huyu huyu kwanza asiwepo Kisha ndo achaguliwe upya. Na katika uchaguzi wa mawaziri katiba inamwambia KWA KUSHIRIKIANA NA WAZIRI MKUU ndio atateua mawaziri.

Lakini kwa nilichokiona jana ilikuwa tu kuziba Viraka na kufanya mabadiliko madogo madogo tu.

Naomba wataalam mtusaidie hapa.

Cc Petro E. Mselewa Zitto
 
Katika siku za karibuni baada ya kuondokewa na mpendwa wetu Dk Magufuli, TLS walitoa waraka wa kumtaka Mheshimiwa Samia aunde Baraza jipya la mawaziri ili wote waliopo waape mbele yake. Hii Ina maana pamoja na waziri mkuu pia litakiwa hata Kama ataendelea huyu huyu kwanza asiwepo Kisha ndo achaguliwe upya. Na katika uchaguzi wa mawaziri katiba inamwambia KWA KUSHIRIKIANA NA WAZIRI MKUU ndio atateua mawaziri. Lkn kwa nilichokiona Jana ilikua tu kuziba Viraka na kufanya mabadiliko madogo madogo tu. Naomba wataalam mtusaidie hapa. Cc Petro E. Mselewa Zitto

waraka wa TLS ulikosewa

kwenye sheria namna ya kutafsiri vifungu ni shida sana

Naona waliko aibu tupu


Hao mawaziri hawakuapa kwa JPM waliapa kwa Rais!!!

Kura za JPM ndio hizo hizo anatambaa nazo Samia. hatujapiga kura upya

ukitaka avunje baraza kama TLS walivyoshauri ni nchi nzima...unaivunja vunja kuanzia ma DED, wakuu wa mikoa , viongozi wa taasisi mbalimbali n.k

it was just very simple logic, sasa TLS na juzi CDM sijui wanaongea na nani? maana kusoma tu bila kuwa na tafsiri sahihi ni makosa sana

samia na jpm walinadi sera na kuomba kura pamoja....na ndio msingi wa kuwa na msaidizi katika nyakati za kifo.

Katiba iko clear ila wajanja wakaona watumie mwanya kuweka mwongozo wao, ni aibu kubwa sana kwa TLS
 
waraka wa TLS ulikosewa

kwenye sheria namna ya kutafsiri vifungu ni shida sana

Naona waliko aibu tupu


Hao mawaziri hawakuapa kwa JPM waliapa kwa Rais!!!

Kura za JPM ndio hizo hizo anatambaa nazo Samia. hatujapiga kura upya

ukitaka avunje baraza kama TLS walivyoshauri ni nchi nzima...unaivunja vunja kuanzia ma DED, wakuu wa mikoa , viongozi wa taasisi mbalimbali n.k

it was just very simple logic, sasa TLS na juzi CDM sijui wanaongea na nani? maana kusoma tu bila kuwa na tafsiri sahihi ni makosa sana

samia na jpm walinadi sera na kuomba kura pamoja....na ndio msingi wa kuwa na msaidizi katika nyakati za kifo.

Katiba iko clear ila wajanja wakaona watumie mwanya kuweka mwongozo wao, ni aibu kubwa sana kwa TLS
Mkuu nawe unaingia katika makosa hayo hayo kwa kutoleta vifungu vinavyohalalisha uwepo wa Baraza hili bila kuapa mbele ya picha ya raisi wa sasa. Hii ni AWAMU nyingine ya uraisi hata Mheshimiwa raisi Jana kasema.
 
Mkuu nawe unaingia katika makosa hayo hayo kwa kutoleta vifungu vinavyohalalisha uwepo wa Baraza hili bila kuapa mbele ya picha ya raisi wa sasa. Hii ni AWAMU nyingine ya uraisi hata Mheshimiwa raisi Jana kasema.
Hakuna makosa yoyote, tatizo ni uelewa wenu mdogo kuhusu kutasiri katiba
 
Haikuwa na maana kuvunja baraza lote ili eti waje kuapa kwake kama individual. La sivyo angelazimika kuzigusa na teuzi zile zooote zilizofanywa na the late JPM. Urais ni Taasisi

Lakini pia hakuna sheria iliyokuwa inamfunga kuvunja baraza au kumtengua yeyote aliyesimikwa na mtangulizi wake. Ndio maana hakuona aibu wala fedheha kumfyekelea mbali Bashiru mbele ya camera..
 
mimi niwashangae nyinyi. Mnataka abadili cabinet amuweke nani kati ya CCM waliojaa vilaza na kupita bila kupigwa. Kama kubwa la mawaziri mwenyewe anakwambia watu 3.9b wameangalia mazishi,unategemea nini. hao mnaowataka angewatoa wapi
 
Haikuwa na maana kuvunja baraza lote ili eti waje kuapa kwake kama individual. La sivyo angelazimika kuzigusa na teuzi zile zooote zilizofabywa na JPM. Urais ni Taasisi

Lakini pia hakuna sheria iliyokuwa inamfunga kuvunja baraza au kumtengua yeyote aliyesimikwa na mtangulizi wake. Ndio maana hakuona aibu wala fedheha kumfyekelea mbali Bashiru mbele ya camera..
Tatizo ni waraka wa TLS ambao ulisema katiba inamtaka raisi kuvunja Baraza. TLS walichemka
 
Tatizo ni waraka wa TLS ambao ulisema katiba inamtaka raisi kuvunja Baraza. TLS walichemka
Waliteleza kidogo. Lakini ndivyo sheria zilivyo. Ndio maana daily jopo la wanasheria kutoka kundi mbili tofauti (prosecution & defence) huwa wanalumbana mahakamani kwenye tafsiri "sahihi" ya vifungu vya sheria na mwenye hoja nzito huibuka kidedea
 
Katika siku za karibuni baada ya kuondokewa na mpendwa wetu Dk Magufuli, TLS walitoa waraka wa kumtaka Mheshimiwa Samia aunde Baraza jipya la mawaziri ili wote waliopo waape mbele yake.

Hii Ina maana pamoja na waziri mkuu pia litakiwa hata Kama ataendelea huyu huyu kwanza asiwepo Kisha ndo achaguliwe upya. Na katika uchaguzi wa mawaziri katiba inamwambia KWA KUSHIRIKIANA NA WAZIRI MKUU ndio atateua mawaziri.

Lakini kwa nilichokiona jana ilikuwa tu kuziba Viraka na kufanya mabadiliko madogo madogo tu.

Naomba wataalam mtusaidie hapa.

Cc Petro E. Mselewa Zitto
Kasema ngoja waendelee na safari kwa kutoa angalizo mwendelezo wa safari yao ya uwaziri itategemea na ufanisi wao
 
Nafikiri tunasahau kama Mama Samia sio Rais wa Kuchaguliwa.
AMERITHI URAIS .
Awali alikuwa Makamu wa Rais,, na akiwa ktk nafasi ile aliomba kura na harimae waliunda Serikali akiwa Mshauri na Msaidizi Mkuu wa Rais na kwamba alishiriki kuunda Baraza lililoloPo
Aidha katiba imemuweka maalumu kuchukua nchi kama Rais ataondoka kabla ya miaka mitano.
Ingawa ana mamlaka kamili anafarajiwa kukamisha walichokuwa wanashauriana.
 
Katika siku za karibuni baada ya kuondokewa na mpendwa wetu Dk Magufuli, TLS walitoa waraka wa kumtaka Mheshimiwa Samia aunde Baraza jipya la mawaziri ili wote waliopo waape mbele yake.

Hii Ina maana pamoja na waziri mkuu pia litakiwa hata Kama ataendelea huyu huyu kwanza asiwepo Kisha ndo achaguliwe upya. Na katika uchaguzi wa mawaziri katiba inamwambia KWA KUSHIRIKIANA NA WAZIRI MKUU ndio atateua mawaziri.

Lakini kwa nilichokiona jana ilikuwa tu kuziba Viraka na kufanya mabadiliko madogo madogo tu.

Naomba wataalam mtusaidie hapa.

Cc Petro E. Mselewa Zitto
Ngoja tls waje ndio wanaongoza nchi ktk kipindi hiki cha mpito
 
Back
Top Bottom