Rais kuteua makada UVCCM kuwa Wakurugenzi ni kuvuruga Utumishi wa Umma

Kwani aliyemaliza Chuo na hana ajira, hastahili kuteuliwa?

Roho ya kwanini siyo nzuri Arawa.

DED ni kama Managing Director wa Wilaya, kwahiyo elimu peke yake haitoshi. Inahitajika uzoefu mpana wa kikazi ili mtu awe na minimum requirement za kuwa DED. Mafungu yote ya matumizi ya serikali yanasimamiwa na DED. Na idara zote nyeti katika ngazi ya wilaya ziko chini yake.
 
Nyie watumishi wa umma huwa hamtaki wengine walioko sector binafsi kupata nafasi na kutumikia wananchi na wengi hutumia kigezo sijui kuvunjika moyo sijui uzoefu, I'm telling you kazi ukipewa msasa na semina unafanya vizuri tu bila shida yoyote na kwa ufanisi, hii mazoea ya kutowapa wengine fursa vile eti ni wageni sio fair sasa watajifunza lini?
Nyerere alikuwa waziri mkuu akiwa kijana, Ahmed Salim akiwa fresh na mdogo na alifamya makubwa, kikubwa watu wapewe nafasi kuonyesha uwezo wao.
Ni kweli hakuna kazi ngumu na ded lazima awe mmoja it does Not matter katoka wapi ....
Fair competition ni kuweka vigezo na watu wacompite haki Sawa it doesn't matter katoka wapi...
Kwenye kazi za uteuzi ni vile anaona mwenye mamlaka ya uteuzi yupi anamfaa na kwa nn...
Hoja ya msingi ni kutowahukumu watumishi wa umma wote wapo lazy bila kujua chanzo ni nn?muwasaidie wana hali ngumu huko ambako wengine hawataki ndipo wanaumia pasipo kuwalaumu tu
Hakuna asietaka maslah mazuri hata hao walimu au madaktari au manesi walioko vijijin wanawajibika mno ila wahusika hawawaoni.
Mm si mmoja wao niko kwenye taasisi ingine ila tunapokuja kutathim mradi ambayo gvt iko joint na international organisation tunajifunza mengi mengi. Hasa km unapata wasaa wa kuchambua in details.
Kuwa na amani..mtumishi wa umma si lazima awe ded au dc au waziri au rc na kutumikia wananchi si lazima Uanze na uded udc nk
 
Weka jina.
Hii nchi jamani kweli kuna haya mambo ya kuzaliwa kwenye silver spoon hapo.

Kuna mteuliwa UDE namfahamu tokea amalize chuo ajira yake ya kwanza ni kuteuliwa uded.

Magufuli alifanya hivyo kwenye uteuzi wa Ma DAS naona mama kamuiga au kahujumiwa.

Mama embu angalia vizuri CV za hao wateule wako.

Nyingine zitakuwa zimebumbwa embu zifuatilie usibitishe ukweli
 
Huyu Joanfaith ameolewa?mwenye mawasiliano yake hata email please. Naahidi kumheshimu na kumpenda daima
 
Msimu huu ni makada na watoto wa wakubwa. Pia watoto wa wakubwa wengi pia hawana ajira kwahiyo wazazi wao wanazo connection za kufosi watoto wao wateuliwe.
 
**** mae sioni mwanga mbele kwa sie ndugu zetu waliokosa nafasi kitambo hicho maana naona majina ni yale Yale makoo ya kisambaa, kimakonde na kizanziberiiiiii!
Wazazi wetu walikosea wapi jameniii!!!
Naona anguko la Taifa maana S/M kuweka vilaza ni anguko kubwa no wonder will happen within the 5 yrs I'm ready to be corrected povu ruksa
 
I was told, They can't employ me because I don't have the experience! Also, they don't want to give me the job so that I get the experience!
Kila jukumu ulilo orodhesha, Lina wafanyakazi wengi nyuma yake kuanzia walio ajiriwa karibuni mpaka waliokwenda likizo ya kujitayarisha kustaafu! Hivyo basi hawa wateuliwa wapya watakuwa na watu wakuwaongoza. Pia kutakuwepo na mafunzo ya hapa na pale ya kuwa endeleza. Hawa vijana wamesheheni energy na kama mtu yuko tayari Kujifunza, muda mchache ataweza kumudu huo uongozi.
Pia hawa vijana communication/informations za kujiendeleza ni nyingi siyo kama wakati ule wa 90s, internet inasaidia sana na social media inasaidia kukuelimisha unapokwama.
This is a good move to expose the young people to uongozi hence soon watakuwa na "EXPERIENCE" NE!?
Shida watu wanasifa za maDED ambao hawaexist in real world wakiteuliwa wazee wanasema wameteuliwa vijana wanasema nikuwapuuza ndyo njia sahihi ta kuishi nayo coz hata huyo lissu angekuwa rais asingeteua watu nje ya bavicha
 
Hii nchi jamani kweli kuna haya mambo ya kuzaliwa kwenye silver spoon hapo.

Kuna mteuliwa UDE namfahamu tokea amalize chuo ajira yake ya kwanza ni kuteuliwa uded.

Magufuli alifanya hivyo kwenye uteuzi wa Ma DAS naona mama kamuiga au kahujumiwa.

Mama embu angalia vizuri CV za hao wateule wako.

Nyingine zitakuwa zimebumbwa embu zifuatilie usibitishe ukweli
Acha tujaribu na damu changa hivi vibabu vipenda ngono vimetuchosha kwanza havikawii kwenda na korona
 
Mimi nilijua U-DED ni professional job kumbe kwa sasa ni kazi ya kisiasa zaidi. Anyway sijawahi fanya kazi serikalini lakini walioko serikalini watueleze zaidi. Nafikiri JD ya DED itakuwa na minimum requirements zinazotakiwa.
 
Weka jina.
IMG_20210802_214252_015.JPG
 
Back
Top Bottom