Chozizwa2020
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 912
- 852
Mkuu kwani hawana elimu stahiki na uzoefu wa kutosha kwa kujaza nasafi hiyo?Yani hako kakikaa ofisini mwaka tu report ya Cag itakuja imegeuka juu chini hata yeye mwenyewe atashangaa pesa zimepigwaje mbele yake bila yeye kuona.