sawia kabisa mkuu,hawa watu wameshabanwa kwenye kona,hawana pa kutokea,ndio maana wanatapatapa!mabadiliko ya kweli yanakaribia,ndio maana wamejawaWacha wafu wazikane. Mimi sina shaka na kizazi hiki ambacho kinadhulumiwa na hawa watumwa wa kujitakia. Wote watafurumushwa kama Gadafi.