Duuh! Kuna Raisi yoyote humu Duniani alishafanya Kama Samia anachokifanya? Au ndo alikua anatafuta kuvunja record ya Dunia??Nadhani lengo lao kuu ni kwamba rais ni maarufu zaidi hivyo itasaidia
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ngoja tusubir tuone! Ila huyo waziri husika mbona yupoyupo TU?!Mkuu Royal Tour hu deal na presidents na Kings kutangaza vivutio vya utalii vilivyomo nchini mwao kuonyesha reliability na seriousness sababu president huaminika zaidi kimataifa kuliko Waziri
Kwa hili Yuko sahiihi japo gharama zake huwa kubwa kweli kweli sio utani
Hizo kampuni Ni sawa na zile za utangazaji wa advertising Ni Kama za PPR za akina Pascal Mayala ila zenyewe Ni za kimataifa na hu deal na high profile leaders at high cost of course.Ziko zingine za kitapeli wapiga pesa tu unakuta hakuna results za maana ziko zingine zi ki shoot Bill gates na mabilionea wakubwa na presidents lazima waje Tanzania kutalii.Big fish
Tusubiri what happens after shooting the movie what will come
Mkuu Royal Tour hu deal na presidents ....
... Ziko zingine za kitapeli wapiga pesa tu unakuta hakuna results za maana ziko zingine zi ki shoot Bill gates na mabilionea wakubwa na presidents lazima waje Tanzania kutalii.Big fish
Tusubiri what happens after shooting the movie what will come