Joss
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 765
- 191
Nimesoma habari katika Tanzania Daima yenye kichwa cha habari" NHC yarudisha funguo za wazazi ccm" NHC yarejesha funguo za wazazi CCM katika habari hiyo inaelezwa kuwa Rais ameliambia shiraka hilo kutafuta njia mbadala ya kudai madeni badala ya sasa ambayo inaathiri sana wizara. Mi naona hii si safi hata kidogo. Ndio yale ya Magufuli alipoambiwa aangalie utu/uungwana badala ya sheria katika bomoa bomoa, kwa hali hii tutafika kweli?