Rais kuingilia taratibu za ibada

Umechemka sana kwa mtazamo wako uwo, hakuna ilitrojia yoyote iliyovunjwa pale, Raisi was Burundi Nkurunzinza yeye binafsi uenda kanisani kufanya usafi kabla ya ibada, na anakuambia anamtumikia aliye mkuu kuliko wote, sasa we we unakuja na swala la kukusanya sadaka.......!bado sana
Na we we pia kapanue ubongo,
Kufagia ama kusafisha siyo lituljia ni majitoleo,
 
Kuna shughuli au kazi kwenye ibada hawezi kufanya mtu bila kupangiwa, LAKINI kukusanya ibada anaweza kufanya muumini yeyote kufuatana na mazingira; tuseme kwa mfano, labda kuna sehemu wakusanya sadaka "waliopangwa" hawakufika kwa sababu moja au nyingine, muumini aliye karibu anaweza kufanya kazi hiyo. Hakuna kizuizi chochote in that!
Ona aibu acha uongo,
Katoliki haipo holela hivyo ndo maana hakuna kashfa za wizi wa sadaka,upo utaratibu wa kilituljia wa ukusanyaji sadaka na namna ya kuzipeleka altareni,usidhani unajiendea tu km unavyoenda chooni,altale ilipo kukiwepo Ekaristi tu huwa panapewa utakatifu maalumu sababu tunaamini Kristo mwenyewe huja,ndo maana kuna utaratibu wake wa kufanya lolote pale
 
Nadhani una matatizo kichwani mwako. Dkt Magufuli kalelewa na wakatoliki anafahamu taratibu zote! Wewe utakuwa ni mkatoliki wa vyama vya upinzani, ukome kushobokea vitu visivyokuhusu.
Duh kumbe wakatolik mpo makundi mawili
A-Wanaomshobekea Rais bila ya shaka wanaongozwa na PENGO
B-Wakatoliki wa upinzani hao kiongoz wao bado hamjatuambia
 
Nimemuelewa sana muanzisha uzi. Si jambo baya kujitolea kufanya jema pale inapolazimu. Kwa jinsi nilivyoangalia clip ya juzi na kama muumini mkatoliki nayasema haya:-

1. Tukubaliane tu kuwa mtu yeyote maarufu anapofanya jambo mbele ya hadhara hata kama ni dogo ana uwezo wa kuvuta hisia na "attention" ya watu kutoka katika kile wanachofanya kuelekea kwake kwa maneno mengine (he becomes a centre of attention). Na katika jambo kama la kuabudu ambapo MUNGU ndiye kiini cha kusanyiko inakuwa si vyema sana.

2. Kwenye video niliona watu wa usalama na walinzi wa raisi wakizuia watu kumsogelea rais. Ikumbukwe ile ni Misa na si mikutano ya hadhara hivyo kila mtu katika kutoa sadaka angependa kufanya hivyo katika moyo wa ibada bila kuzongwa. Hilo ni kosa.

3. Na mwisho, kama lililofanyika Mbeya linatokea kila mara Parokia ya Oysterbay basi sina shaka kuwa Mh. Magufuli aone tu kuwa ni busara kuwaacha wasaidizi wa misa ambao kila Jumapili wanachaguliwa kwa kazi hiyo wahudumie watu. Ikumbukwe Magufuli akinyanyuka kanisani na wasaidizi wake wanalazimika kumlinda hivyo kunaharibu utulivu wa kuabudu.

USHAURI WANGU: Mh. Rais aige tu kwa Nyerere ambaye alionekana mnyenyekevu Kanisani hata bila ya kuzunguka na kapu la sadaka. Kuna mambo mengi ambayo si dhambi ila yakifanywa mahali sipo yanaleta "disorder" na hili si lazima mtu awe maarufu. Hata akitokea yeyote yile Kanisani akaanza kujichukulia kapu la sadaka kukusanya bado haimfanyi mdhambi ila si utaratibu na ndiyo maana kuna watu maalum kila Jumapili (wakiwa na utambulisho) hupewa hilo jukumu.
ASANTE MTUNGA MADA.
 
Yes kaingilia utaratibu wa misa,kukusanya sadaka hakupangiwa kufanya hii kazi,wapo watu waliopangiwa ndio maana hata yeye anapoendesha mikutano yake huwezi kuona watu wanaingilia ratiba iliyopangwa,binafsi heshima yangu kwa kanisa hili imeshanitoka long time ago,ninasali nyumbani kwangu ,juzi kati kuna mtu aliingilia hotuba yake kutaka haki yake,kwa kauli yake tulimsikia nini aliamrisha kwa polisi wake wakifanye dhidi ya mlalamikaji huyu,ni huyu huyu no 1 alishatamka kuwa hatajali kuona suspects wakipigwa risasi na kuuliwa hata kama mmoja wao ni ndugu yake,kauli kama hii inaonyesha ni jinsi gani alivyo katili na sio muumini wa uhuru wa kisheria ,ni mahakama tu yenye uwezo wa kuhukumu.ukiona umefurahishwa na kituko hiki cha our no 1 kuingilia mpangilio wa ratiba ya ibada ,elewa hata katika maisha yako hauna mpangilio.
Hivi nyinyi binadamu hasa tanzania aliyewaroga amekufa au?
Mtoa mada mpumbavu.
Rais akiwa mkali mnalia,akiwa karibu na watu mnalia sasa mnataka nini.
Mimi hiyo sio dini yangu lkn naona hakuna kosa.
Hivi kuna mtu ameshushwa toka mbinguni anatakiwa kukusanya hizo sadaka?
Si ni binadamu tu wa kawaida.
Waumini kama wewe hamfai katika hiyo dini.
Acha utoto.
 
Imekua kama kansa sasa Rais Magufuli kuingilia taratibu za kawaida za ibada .

Anachofanya wakati wote ni unajisi tuu na hakina tafsiri yoyote. Mengine ni kampeni za kijinga aonekane si mdhambi.

Wanaosali Oysterbay katoliki wanajua kero hizi. Yaani watu Hawasali tena kwa utulivu kisa sifa za kisiasa.

Jana mpaka anajipeleka kukusanya sadaka wakati kuna wahudumu huandaliwa kabisa kwa kila tukio ndani ya adhimisho.Kuna siku atataka na kukomunisha na Pengo atakenua tuu.

Hapa nasimamia liturjia yetu Katoliki upuuzi huu ufe mara moja. Atumie chapel ya ikulu inamtosha.

Wengi including viongozi katoliki ambao kwa sasa wamegawanywa na siasa na kufumbwa midomo wako kimya tu .

Upuuzi nyamazeni sisi mawe tunasema. RAIS HESHIMU IBADA ZETU TAFADHALI.
Daaah...mna chuki mpaka mnakuwa wajinga !
Screenshot_20190428-230305.jpeg
 
Yes kaingilia utaratibu wa misa,kukusanya sadaka hakupangiwa kufanya hii kazi,wapo watu waliopangiwa ndio maana hata yeye anapoendesha mikutano yake huwezi kuona watu wanaingilia ratiba iliyopangwa,binafsi heshima yangu kwa kanisa hili imeshanitoka long time ago,ninasali nyumbani kwangu ,juzi kati kuna mtu aliingilia hotuba yake kutaka haki yake,kwa kauli yake tulimsikia nini aliamrisha kwa polisi wake wakifanye dhidi ya mlalamikaji huyu,ni huyu huyu no 1 alishatamka kuwa hatajali kuona suspects wakipigwa risasi na kuuliwa hata kama mmoja wao ni ndugu yake,kauli kama hii inaonyesha ni jinsi gani alivyo katili na sio muumini wa uhuru wa kisheria ,ni mahakama tu yenye uwezo wa kuhukumu.ukiona umefurahishwa na kituko hiki cha our no 1 kuingilia mpangilio wa ratiba ya ibada ,elewa hata katika maisha yako hauna mpangilio.
Hichi ulichoandika chini ndio duku duku lako lakini si hoja ya kuingilia utaratibu.
Ila bado hujajisaidia maana tafuta dini ya kweli, hiyo ni dini ya kupanga tuu !
 
Utaratibu wakukusanya sadaka niwakawaida nawanaokusanya sadaka niwaumini wakawaida
Kwahiyo kitendo alichokifanya Mh Raisi nichakawaida sana sana
Tena kwa nafasi yake nikitu kikubwa sana kumfanyia Mwenyenzi Mungu Mkuu
Mimi mkatoliki nileyesoma uchaghani useminarini nijambo zuri sana
 
Na jamaa yumo kwenye kikundi cha kwaya pia ! Jamaa wana chuki na nongwa mpaka basss !
Umechemka sana kwa mtazamo wako uwo, hakuna ilitrojia yoyote iliyovunjwa pale, Raisi was Burundi Nkurunzinza yeye binafsi uenda kanisani kufanya usafi kabla ya ibada, na anakuambia anamtumikia aliye mkuu kuliko wote, sasa we we unakuja na swala la kukusanya sadaka.......!bado sana
 
Je alipangiwa kukusanya!? Hakuna cha chuki kama wajinga waliokunywa maji ya viatu wanavyodai. Ibada ziheshimiwe.
Kwahiyo sala /ibada haikuswihii ! ? (yaani sala /ibada haikukamilika kisa sadaka ?)
 
Nadhani una matatizo kichwani mwako. Dkt Magufuli kalelewa na wakatoliki anafahamu taratibu zote! Wewe utakuwa ni mkatoliki wa vyama vya upinzani, ukome kushobokea vitu visivyokuhusu.
@fisi 2 ni mkatoliki wa upinzani (make sense)
 
Hebu komaza ubongo kidogo,
Ibada siyo jambo linaloendeshwa km unavyodhani,labda ibada ya madhehebu yenu ya vichochooni,
Mfano alivyokusanya sadaka anajua huwa zinapelekwaje altareni,Kanisa lina lituljia yake, siyo holela holela,mpaka wa cheo chake hauingii pale,akienda kanisani yeye ni wa kufuata taratibu tu,
Sisi bwana akija Msikitini Sheikh Alhaj Ally Hassan Mwinyi (enzi akiwa Rais) ndio anakuwa Imamu (anaongoza sala)
 
Na we we pia kapanue ubongo,
Kufagia ama kusafisha siyo lituljia ni majitoleo,
Duuh....sadaka kumbe inaitwa 'liturjia' !
Wale walokole zile.za upaka, mafuta, sijui zaka, kufunguliwa hazifanani na liturjia
 
Back
Top Bottom