Rais Kikwete, Watanzania wana imani na wewe achana na hoja dhaifu za Chadema

"United Nations Foundation wametupa tuzo ijulikanayo kama “2011 Social Good Award” kwa kuendeleza midia jamii na kutumia teknolojia ya kisasa kukabili changamoto za maendeleo ikiwa ni pamoja na huduma ya afya ya kina mama. Pili,tumepewa tuzo ya the South-South News Award kutokana na mafanikio tunayoyapata katika kuboresha afya nchini na kwa kutumia teknolojia ya habari na mawasiliano kwa ajili hiyo. Pia, kwa kutambua mchango tunaoutoa kwa maendeleo ya dunia. Na tatu, kutoka Soko la Mitaji la NASDAQ tumepewa tuzo kwa kutambua mchango wangu na mafanikio tunayoyapata katika kupunguza vifo vya kina mama na watoto."


Umeshaziona hizo Tanzania hii kabla ya Kikwete, hususan hiyo ya utawala bora? Bila "nidhamu kwa watumishi wa umma" utapewa hiyo?

Kikwete hakisii, anafanya kweli, na kwa hilo la "nidhamu kwa watumishi wa umma", si mimi nnaesema hayo, ni Mataifa yaliyoipa Serikali yake tuzo ya utawala bora. Kuna uongozi wa Rais wa kabla yake uliopata hiyo tuzo au ya Umoja wa Mataifa au japo inayofanana nayo?

Hizo tuzo zote zimeleta manufaa gani kwa taifa, ikiwa taifa ni la tatu kwa kuombaomba duniani?!

Hizo tuzo danganya toto tu..hawafahamu ukweli katika ground zero. Ina maana akina mama huduma zao zimeboreka zaidi?! Mbona mahospitalini wanalala zaidi ya watano katika kitanda kimoja?!? Vifo vya akina mama na watoto navyo vimepungua kweli? Kwa takwimu zipi? Zilizoandaliwa na nani?

Jamaa anapewa matuzo meni ya kudanganyika kwa sababu ni dhaifu na anadanganyika kuliko watangulizi wake. Anapewa vituzo hivyo na kuuza nchi!! Hata rais Mwinyi hasingekubali utaratibu huo.
 
Hizo tuzo zote zimeleta manufaa gani kwa taifa, ikiwa taifa ni la tatu kwa kuombaomba duniani?!

Hizo tuzo danganya toto tu..hawafahamu ukweli katika ground zero. Ina maana akina mama huduma zao zimeboreka zaidi?! Mbona mahospitalini wanalala zaidi ya watano katika kitanda kimoja?!? Vifo vya akina mama na watoto navyo vimepungua kweli? Kwa takwimu zipi? Zilizoandaliwa na nani?

Jamaa anapewa matuzo meni ya kudanganyika kwa sababu ni dhaifu na anadanganyika kuliko watangulizi wake. Anapewa vituzo hivyo na kuuza nchi!! Hata rais Mwinyi hasingekubali utaratibu huo.

Faida nyingi sana kuliko unavyofikiria, miaka yote mna maji mkashindwa kuyatumia, leo tunaona miradi ya kupeleka maji Shinyanga mpaka Tabora kutoka Victoria, Jee, siyo mafanikio hayo? Leo tunaona ma highway yanajengwa Dar. Leo tunaona Daraja la Kigamboni linajengwa, leo tunaona daraja la Malagarasi limejengwa, leo tunaona pipeline mpya ya Gas inakuja Dar. Leo tunaona nyumba 50 za majaribio ya Gas inayosambazwa kwa mabomba tayari zinafanya kazi. Huna macho?
 
Duh! Sasa chifu, mbona rais Kikwete alisema watakaorudisha pesa za EPA atawasamehe?!
Kama ilikuwa biashara halali kulikuwa na haja gani ya rais kutoa kauli kama ile?!

Hao aliowasamehe rais ndiyo wako wapi vile?! Jela? Mtaani? TIB?!

Ili ni kauli ya kuwafanya warudishe, kina farijala hawakurudisha, wamechapwa mika 5, unawalisha bure na wakitoka fedha wanayo, hapo sasa, bora lipi?
 
Ili ni kauli ya kuwafanya warudishe, kina farijala hawakurudisha, wamechapwa mika 5, unawalisha bure na wakitoka fedha wanayo, hapo sasa, bora lipi?

Huo ndiyo udhaifu wenyewe!! Yaani rais huyo huyo, mahakama yeye mwenyewe na jaji yeye mwenyewe!!
Kama ilikuwa ni kauli ya kuwafanya warudishe, basi ni kweli waliiba, na haikuwa biashara halali kama ulivyosema awali!

Maneno hayo ya mwisho kwenye post yako nayo yanaonyesha udhaifu wa mfumo uliopo sasa; kwani mfumo ungekuwa makini hao wezi ni wa kutaifishwa mali zao, wasibaki na kitu. Kama wakitoka jela waje waanze mwanzo kwa kupata kiptao halali.
 
Ritz,

Kwa hayo hayo ndio Kikwete hapendeki. Ukitazama wengi wa wanaoleta chuki na kejeli utakuta wengi ni wale wale waliozibiwa mianya ya wizi kwa mara ya kwanza toka hii nchi ipate Uhuru katika kipindi hiki cha Kikwete.

Baada ya muda mfupi, Kikwete anaanza kushughulikia fedha zilizowekwa nje ya nchi na hawa wizi wa mali za umma. Ni kazi ngumu sana, lakini ipo njiani inakuja, tutaona chuki zikizidi. Ukitazama kijuu juu tu hata bila ya uchunguzi wa kina utakuta wote wenye chuki ni wale wale 83%. Hao ndio "wasomi" bila kuelimika, hao ndio walioifikisha nchi ilipofika na hao ndio wezi wakubwa.

Tunamtakia kila la heri Kikwete kwa hii kazi ngumu aifanyayo sasa, na matokeo tunayaona. Na hapo ndiyo eti "dhaifu".

Subiri uone majibu sifuri sasa hivi.

AMKAMATE KWANZA RIDHIWANI WE VIP? unaishi kwa kumfagilia goigoi huyu HATUDANGANYIKI
 
Faida nyingi sana kuliko unavyofikiria, miaka yote mna maji mkashindwa kuyatumia, leo tunaona miradi ya kupeleka maji Shinyanga mpaka Tabora kutoka Victoria, Jee, siyo mafanikio hayo? Leo tunaona ma highway yanajengwa Dar. Leo tunaona Daraja la Kigamboni linajengwa, leo tunaona daraja la Malagarasi limejengwa, leo tunaona pipeline mpya ya Gas inakuja Dar. Leo tunaona nyumba 50 za majaribio ya Gas inayosambazwa kwa mabomba tayari zinafanya kazi. Huna macho?

aliahidi mangapi na ametekeleza mangapi? fedha ngapi za Mtanzania zimepotea kwenye matumbo ya mafisadi? HATUDANGANYIKI
 
Huo ndiyo udhaifu wenyewe!! Yaani rais huyo huyo, mahakama yeye mwenyewe na jaji yeye mwenyewe!!
Kama ilikuwa ni kauli ya kuwafanya warudishe, basi ni kweli waliiba, na haikuwa biashara halali kama ulivyosema awali!

Maneno hayo ya mwisho kwenye post yako nayo yanaonyesha udhaifu wa mfumo uliopo sasa; kwani mfumo ungekuwa makini hao wezi ni wa kutaifishwa mali zao, wasibaki na kitu. Kama wakitoka jela waje waanze mwanzo kwa kupata kiptao halali.

Hujui maana ya EPA ni nini. Unazunguka Mbuyu. Ngoja nikupe darsa kidogo;

Kuna waliojipatia fedha kwa kughushi makaratasi na kuzitia kibindoni (kina Farijala hao) na kwa sasa wanatumikia vifungo.

Kuna waliojipatia hizo fedha bila kughushi makaratasi na kufata kanuni zote, ila tu, hawajazifanyia kazi iliyokusudiwa kwa muda unaotakiwa, na hawakuwa na muda maalum wa kumaliza hizo shughuli. Unajuwa kabisa kuwa ukiwafikisha mahakamani na hakuna muda maalum, watasema ndio wanaanza au wamesha anza hizo shughuli na au walishindwa kuanza kwa ajili hii na hii na hii na au bado hawajazimaliza wa ajili hii na hii na ile, hawa ukiwapeleka mahakamani wanakushinda na utaishia kuwalipa zaidi. Na ndio waliorudisha na wanaoendelea kurudisha hizo fedha.
 
Sikuwai kufikiri kama ritz una uwezo wa kumtete JK.

Kweli nime amini inabidi nichanganyikiwe kwanza ndio nikubali huo utetezi wako!

Hivi lowasa amefikishwa mahakama gani?

Nakuhakikishia JK akipata ushahidi wa kutosha wa kumtia muhusika hatiani hatachelea kumfikisha mahakamani, hachana na JK ana mahesabu makali sana msimuone mkimya; kama nakumbuka vizuri nilisha wambia wana JF zaidi ya miaka mitatu iliyopita kwamba JK akigundua umefanya madudu gani na akawa na uhakika kwamba abahatishi, akifikia hapo hakuna cha msalie MTUME, swahiba, relative and what have you! Utakuburuza mahakamani unceremoniously.

Msikilizeni kwa makini anapozungumzia kitu, mambo mengi ayasemayo anaya-practice 2-letter, chukulia mfano msemo: wa "akili za kuambiwa" nani kwa mfano, alitegemea kwamba kwenye team yake kuhusu mambo ya kurekebisha katiba angeweka watu ambao walikuwa wanamshika shati na kumsema bila simile kuhusu Serikali yake na Chama tawala huku wakiwa ni wana chama cha CCM! Si hilo tu alifikia hatua yakuwakaribisha viongozi wa vyama vya upinzani kusikiliza maoni yao bila kujali wapambe wake watasema nini - hii inadhilisha kwamba JK ni truly independent minded person, anajaribu kuweka vitu kwenye mzani na kuchagua ambalo analiona linafaa kwa maslahi ya TAIFA bila ya kijali mtoa hoja anatoka chama gani! What a stark contrast baina yake na baadhi ya viongozi wenzake walio jaribu kuhoji eti "kwa nini anakubali baadhi ya maoni kutoka upinzani!" - wana mawazo ya kizamani KABISA, kwa bahati nzuri JK analijua hilo.

Haya mambo ya kuimarisha kitengo cha CAG, kuwashukia mchwa wa almashauri uliyo kwisha ota mizizi na kuziba mianya ya wizi, watu wanasahau kwamba the brains/architect behind mafanikio hayo ni yeye, lakini cha kushangaza watu hawampi credit yoyote kuhusu hilo.
 
Nakuhakikishia JK akipata ushahidi wa kutosha wa kumtia muhusika hatiani hatachelea kumfikisha mahakamani, hachana na JK ana mahesabu makali sana msimuone mkimya; kama nakumbuka vizuri nilisha wambia wana JF zaidi ya miaka mitatu iliyopita kwamba JK akigundua umefanya madudu gani na akawa na uhakika kwamba abahatishi, akifikia hapo hakuna cha msalie MTUME, swahiba, relative and what have you! Utakuburuza mahakamani unceremoniously.

Msikilizeni kwa makini anapozungumzia kitu, mambo mengi ayasemayo anaya-practice 2-letter, chukulia mfano msemo: wa "akili za kuambiwa" nani kwa mfano, alitegemea kwamba kwenye team yake kuhusu mambo ya kurekebisha katiba angeweka watu ambao walikuwa wanamshika shati na kumsema bila simile kuhusu Serikali yake na Chama tawala huku wakiwa ni wana chama cha CCM! Si hilo tu alifikia hatua yakuwakaribisha viongozi wa vyama vya upinzani kusikiliza maoni yao bila kujali wapambe wake watasema nini - hii inadhilisha kwamba JK ni truly independent minded person, anajaribu kuweka vitu kwenye mzani na kuchagua ambalo analiona linafaa kwa maslahi ya TAIFA bila ya kijali mtoa hoja anatoka chama gani! What a stark contrast baina yake na baadhi ya viongozi wenzake walio jaribu kuhoji eti "kwa nini anakubali baadhi ya maoni kutoka upinzani!" - wana mawazo ya kizamani KABISA, kwa bahati nzuri JK analijua hilo.

Haya mambo ya kuimarisha kitengo cha CAG, kuwashukia mchwa wa almashauri uliyo kwisha ota mizizi na kuziba mianya ya wizi, watu wanasahau kwamba the brains/architect behind mafanikio hayo ni yeye, lakini cha kushangaza watu hawampi credit yoyote kuhusu hilo.

Robot na Invisible: I think this description here deserve to be sticky: Well spoken na anachozungumzia, nina hakika ni kitu ambacho hakuna atakaepinga. Why people look on the weak side of this great man and forsake his strong part? TYes I cna be critical of things Ima not happy, but if the opinion is well spoken and it is the obvious truth, therre is no way I can argue against, otherwise I will be a fool and stupid, so is anyone who will be agains this fact mentioned here.

Bukyanagandi hebu rusha thread mpya au Invisible inakuwaje hapa. Nimependa sana haya maelezo. We need to collect more facts to rescue our coutnry, cause we cant be against ourselves always. We kneow that it is very same people who prooagate against the Presidents that they have a personal interest of the nation's interest. That is why I am arguing against negative politicism, and politis of enermity. This wont take us anywhere.

We must change and start thinking constructively, as I can see in many of the Great Thinkers in here. Mr. President JK please start working close wiht the media, use your inteligence system to ensure that the good messages adn efforts and potrayed in the media and work hard to win against those who have hijacked the media to be against every good deed done by the government.

We shall spare the challenges for the contructive disucssions, our contry is never an exceptional to the currnet challenges, which means what are we doing me and you? Thank you Bukyanagandi for pushing my thinking to the positive edge.
 
Wewe una macho au huna? hivi ingekuwa hakuna maendeleo ya IT sasa hivi tungekuwa hapa JF?

Halafu umesahau kuhusu kitu inaitwa "mkonga wa Taifa"? Hili la IT usiseme kijana, tuko mbali sana na tulipokuwa miaka 7 nyuma.

Mkuu hicho ndio wazee wetu wa CCM wanasema. Can you real call that maendeleo ya IT? Kimisngi kupiga hatua 100 ni maendeleo, lakini hata kupiga hatua 1 ni maendeleo. Hatua 1 inaweza kuwa ni kusukumbwa na upepo, lakini 100 zinatokana na juhudi. Hakuna anyebisha kuwa Tanzania inapiga hatua, lakini ukweli ni kwamba tunaweza kupiga hatua zaidi ya hapa.
 
Kwa nini usiwaulize waliotoa tuzo kwa Serikali ya Tanzania ya awamu hii kuwa ni watawala bora, walitumia vigezo vipi?

Kwa upande wangu, ungejuwa jinsi Serikali ilivyokuwa inatenda kazi kabla ya Kikwete, kuanzia wakati wa Nyerere mpaka Mkapa, ungejuwa utawala bora ni nini.

Nakuuliza hivi, umeshawahi kukimbizana na gari ya kugawa chakula madukani bila kujuwa leo kutakuwa na unga, au mchele au sukari na au ukakaa foleni kuanzia saa 9 za usiku bila kujuwa leo utapata nini dukani? Ungeyawahi hayo, ungejuwa utawala bora ni nini.

Mkuu Mkapa ana mabaya yake lakini huwezi kumuweka kwenye calaiber moja na JK, ni sawa na kuwaweka pamoja TYSON ma Matumla. Vitu kuwa adimu na vitu kupatikana kwa wingi, hakuna uhusianoi hata kidogo nanuatwala bora, na hilo labda apewe credit Mzee Mwiying na sio JK, by the way hilo lingekuwepo tu bila kujali rais angekuwa nani ni wimbi la dunia na msahrti ya IMF.
 
Bongolander, Mnadanganywa na media za nje za Marekani n.k. , umesoma historia au ni hisia zako tu zinakutuma kuwa ni rahisi tu kurukia maendeleo? Natamani tukupe Uraisi mtu kama wewe uone watakachokufanya. Shida mnalalamika tuuu wa-=Tanzania lini mtakuwa na constructive ideas even if you are not happy? Semeni basi tunye nini solutions kwa nchi hii, mnabana kusema kwa faida ya nani? basi kama mna ideas na hamsemi mtakuwa walewale wanaotaka kufaidika binafsi na si kwa Taifa hili. Wengi mnataka kufanyiwa tuambieni mnafanya nini nyinyi wenyewe. Natamani 2015 ifike, na natamani Mungu atuweke hai wengi wenu, hakika hili ninalosema litathibitika, sio rahisi kutawala.

Constructive ideas zipo nyingi tu, lakini utekelezaji wake unatokana na ability ya anayepewa ideas hizo. Kulalamika ni jadi ya mtu hasa pale unapoona mabo yanaenda ovyo. Unajua mtu ukitaka uongozi ujue ugumu wa kazi yenyewe, na uwe na uwezo wa kudeliver. Uongozi si sehemu ya kujitafutia ujiko. Watanzania wengi tulimpigia kura JK kwa kujua kuwa ana uwezo wa kufanya kazi anayoomba, lakini tumeona ni tofauti na anayoeleza. Kati ya ahadi alizotoa hakuna hata moja iliyotekelezwa kwa namna inayofaa, hatujapiga hatua yoyote ya maana toka awamu ya Mkapa iondoke, naona awamu ya JK, simlaumu JK as a person nalaumu timu nzima.
 
Mkuu Mkapa ana mabaya yake lakini huwezi kumuweka kwenye calaiber moja na JK, ni sawa na kuwaweka pamoja TYSON ma Matumla. Vitu kuwa adimu na vitu kupatikana kwa wingi, hakuna uhusianoi hata kidogo nanuatwala bora, na hilo labda apewe credit Mzee Mwiying na sio JK, by the way hilo lingekuwepo tu bila kujali rais angekuwa nani ni wimbi la dunia na msahrti ya IMF.

EPA, KIWIRA, RADAR, BOT, UMEME, KUGAWANA NYUMBA ZA SERIKALI, hujui madudu ya nani yote hayo? Na hujui yameshughulikiwa na yanashughulikiwa na nani?
 
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua matofali yaliyotengenezwa kwa mashine ya Hydrafoam kwaajili ya ujenzi wa madarasa katika shule ya sekondari ya Mboga,wilayani Bagamoyo.


Mashine hiyo yenye thamani ya Shilingi Milioni Sabini 70m/- imetolewa na Rais Kikwete kama msaada kwa vijana waliounda ushirika ili kuboresha maisha yao kwa kufanya miradi mbalimbali ya ujenzi na uzalishaji.
(picha na Freddy Maro)

 
wakati walalamikaji wakiendelea kulalamika, JK: Akagua Mradi Wa Ufyatuaji Matofali, Na Ujenzi Wa Shule Ya Sekondari Mboga.
 
kikwete ndio rais pekee alisaidia kukuza utawala wa kidemokrasia hapa tanzania.
 
tangu tupate uhuru hatukuwa na utawala unaozingatia misingi ya haki,ushirikishwaji na uwajibikaji kama huu wa kikwete.huu ni ukweli mchungu kwa watu wenye chuki na husuda
 
EPA, KIWIRA, RADAR, BOT, UMEME, KUGAWANA NYUMBA ZA SERIKALI, hujui madudu ya nani yote hayo? Na hujui yameshughulikiwa na yanashughulikiwa na nani?

Mkuu hakuna anayesema kuwa Mkapa ni Mungu, kuna watu hapa JF wanataka huyu jamaa akamatwe na kushitakiwa kwa makosa mengi tu, lakini there is no doubt kwamba yeye aliweza kutoa leadership na ku lead, hayo mafamba yote ya Mkapa yalifanyika kutokana na Mkapa kutuzila watanzania. Tulimpigia kura JK kwa matumini kuwa angekuwa better kuliko Ben, na sio ovyo kuliko Ben. Hatuwezi kuthibitisha uziri wa JK kwa kipimo cha ubaya wa Ben.
 
Back
Top Bottom