Rais Kikwete, ukweli huu ungeusemea nyumbani na sio nje ya nchi

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,797
71,216
Rais wetu amekubali kuwa ameiacha nchi ikiwa masikini pamoja na kuwepo ofisi kuu kwa miaka 10 pamoja na maandalizi yake ya miaka 10 mingine ili aingie ofisi hiyo. Cha kusikitisha ni kuwa kaamua kuyasemea hayo huko Uholanzi badala ya kuyasemea hapa nyumbani ambapo tungemuuliza kwa nini hali hiyo imetokea?
Angeyasemea hapa nyumbani kwa sasa yangetusaidia sana hasa wakati huu tukielekea kwenye uchaguzi mkuu maana tungejua sababu iliyomsababisha akaiacha nchi ikiwa masikini huku fedha nyingi sana zikiwa zimepotelea kwa mafisadi wachache? Jee ni yeye mwenyewe aliyeshindwa kazi au usimamizi mbovu wa serikali uliokuwa chini ya chama chake?
Ili aondoke na heshima ni vema atuweke wazi wananchi ili tuwe na maamuzi safi Octoba na yeye abaki salama huku tukimtunza kama mstaafu wa Urais. Hawezi kupoteza chochote kwa kuwa wazi na kuisaidia nchi yake isiendelee kupotea.
ImageUploadedByJamiiForums1434006590.185438.jpg
 
Rais wetu amekubali kuwa ameiacha nchi ikiwa masikini pamoja na kuwepo ofisi kuu kwa miaka 10 pamoja na maandalizi yake ya miaka 10 mingine ili aingie ofisi hiyo. Cha kusikitisha ni kuwa kaamua kuyasemea hayo huko Uholanzi badala ya kuyasemea hapa nyumbani ambapo tungemuuliza kwa nini hali hiyo imetokea?
Angeyasemea hapa nyumbani kwa sasa yangetusaidia sana hasa wakati huu tukielekea kwenye uchaguzi mkuu maana tungejua sababu iliyomsababisha akaiacha nchi ikiwa masikini huku fedha nyingi sana zikiwa zimepotelea kwa mafisadi wachache? Jee ni yeye mwenyewe aliyeshindwa kazi au usimamizi mbovu wa serikali uliokuwa chini ya chama chake?
Ili aondoke na heshima ni vema atuweke wazi wananchi ili tuwe na maamuzi safi Octoba na yeye abaki salama huku tukimtunza kama mstaafu wa Urais. Hawezi kupoteza chochote kwa kuwa wazi na kuisaidia nchi yake isiendelee kupotea.
View attachment 259166

JK ndiyo zake hizo , akiwa majuu anazungumza kila kitu as if wananchi wa kawaida hatutayasikia .................... umesahau alipokwenda America last time akadai Kazi imemchosha and He can't wait to leave the office!!
 
Rais wetu amekubali kuwa ameiacha nchi ikiwa masikini pamoja na kuwepo ofisi kuu kwa miaka 10 pamoja na maandalizi yake ya miaka 10 mingine ili aingie ofisi hiyo. Cha kusikitisha ni kuwa kaamua kuyasemea hayo huko Uholanzi badala ya kuyasemea hapa nyumbani ambapo tungemuuliza kwa nini hali hiyo imetokea?
Angeyasemea hapa nyumbani kwa sasa yangetusaidia sana hasa wakati huu tukielekea kwenye uchaguzi mkuu maana tungejua sababu iliyomsababisha akaiacha nchi ikiwa masikini huku fedha nyingi sana zikiwa zimepotelea kwa mafisadi wachache? Jee ni yeye mwenyewe aliyeshindwa kazi au usimamizi mbovu wa serikali uliokuwa chini ya chama chake?
Ili aondoke na heshima ni vema atuweke wazi wananchi ili tuwe na maamuzi safi Octoba na yeye abaki salama huku tukimtunza kama mstaafu wa Urais. Hawezi kupoteza chochote kwa kuwa wazi na kuisaidia nchi yake isiendelee kupotea.
View attachment 259166
Atasikitikaje wakati alisema hajui kwa nini Tanzania ni masikini..?? Hapo kwa kweli nimechanganya na zangu.....
 
JK ndiyo zake hizo , akiwa majuu anazungumza kila kitu as if wananchi wa kawaida hatutayasikia .................... umesahau alipokwenda America last time akadai Kazi imemchosha and He can't wait to leave the office!!

Tatizo kila kitu kwako nia ageda,naakiwa uongozwe na Rais dikiteta.
 
Hivi mkuu yule jamaa yenu kesharudi kutoka USCOTCH alikokwenda kujadili demokrasia na utawala bora as if wale ndo watamuweka madarakani?

Watu wenye IQ ndogo utawajua tuu, Urais ni taasisi sio mtu kiasi cha kuleta mahaba. Kama hili hulioni au kulielewa ni bora ukanyamaza uache wenye weledi walijadili bila ushabiki. Huyo ni Rais wa nchi yetu wala hatuzungumzii uenyekiti wake wa chama hapa.
 
ndo maana tuache ushabiki. tuwe makini. nchii Uungwana na kutokuwa serious ndotumefika hapa. Jamani tupambanishe hawa wawili wako serious Slaa na magufuli hata kama wana udhaifu wao lakini wakoi serious!!! tutatoka lakini kama majasusi waendelee kukaa ikulu tutaishia pale pale tena pabaya zaidi
membe - jasusi
Pinda - Jasusi
Mahiga - Jasusi
karibi wengi majasusi - why??????????????
 
Watu wenye IQ ndogo utawajua tuu, Urais ni taasisi sio mtu kiasi cha kuleta mahaba. Kama hili hulioni au kulielewa ni bora ukanyamaza uache wenye weledi walijadili bila ushabiki. Huyo ni Rais wa nchi yetu wala hatuzungumzii uenyekiti wake wa chama hapa.

Unakurupuka nini si ndo mnamuita Rais wenu mtarajiwa muulizeni hiyo Demokrasia anaenda kuijadili Ulaya?
 
unaweza kumpigia simu tu mkuu namba yake sema tukupe kama huna.
 
Rais wetu amekubali kuwa ameiacha nchi ikiwa masikini pamoja na kuwepo ofisi kuu kwa miaka 10 pamoja na maandalizi yake ya miaka 10 mingine ili aingie ofisi hiyo. Cha kusikitisha ni kuwa kaamua kuyasemea hayo huko Uholanzi badala ya kuyasemea hapa nyumbani ambapo tungemuuliza kwa nini hali hiyo imetokea?
Angeyasemea hapa nyumbani kwa sasa yangetusaidia sana hasa wakati huu tukielekea kwenye uchaguzi mkuu maana tungejua sababu iliyomsababisha akaiacha nchi ikiwa masikini huku fedha nyingi sana zikiwa zimepotelea kwa mafisadi wachache? Jee ni yeye mwenyewe aliyeshindwa kazi au usimamizi mbovu wa serikali uliokuwa chini ya chama chake?
Ili aondoke na heshima ni vema atuweke wazi wananchi ili tuwe na maamuzi safi Octoba na yeye abaki salama huku tukimtunza kama mstaafu wa Urais. Hawezi kupoteza chochote kwa kuwa wazi na kuisaidia nchi yake isiendelee kupotea.
View attachment 259166
Huyo JK ndiyo zake, akienda nje anatoa comments ambazo anajua waandishi wa huko hawawezi kumchallenge, kwa kuwa hawajui aliwaahidi nini waTz wakati anaingia madarakani mwaka 2005.

Angetoa comments hizo hapa Bongo, angeulizwa kama mwenyewe anakiri kuwa anasikitika kuwaacha watanzania katika maisha ya umasikini wa kutisha,kumbe ile ahadi yako aliyoitoa mwaka 2005 ya kuwaletea maisha bora kwa kila mtanzania ilikuwa fix?
 
Ni gia tu za kuhemea hizo.

Kweli ukiwa mwongo na mpotoshaji jitahidi kuweka kumbukumbu pia fuatilia mambo ya nyumbani mwako,Mzee mzima Secretary General kesharudi kutoka kwenye majdiliano ya Demolrasia na utawala bora ULAYA?
 
Back
Top Bottom