'Tutamudu vijana msiwe na shaka. Sijasahau, kwanza Obama kaniaidi mchango wake, wachina nao wamesema watatusaidia, pia najaribu kuongea na Mzee Kibaki tuone nini tunaweza kufanya, aaah ila mnikumbushe mara kwa mara kabla ya uchaguzi ujao japo tuanze kuchimba mashimo ya kuwekea nguzo na..........! Sory ngoja nipokee simu ya R. Aziz labda ana mkakati mpya'
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.