Kwa nini awajumuishe wapinzani ktk kamati, kwani mikataba imeshakua kisiasa. Ni dhahiri CCM wameshakubali kushindwa na kua hawawezi ona au fanya kitu kilicho bora kwa waTZ bila ya kuhusisha wapinzani. Na kama ni hivyo JK na CCM yao nashangaa mpaka leo hawajaona umuhimu wa kuwahusisha wapinzani kubadili katiba ili kupunguza madaraka ya raisi nk kama wapinzani wanavyosema. Katiba mbovu ndio msingi mbaya.
Au hii ni ktk kuwakatia kitumbua kidogo wapinzani ili wawe bubu na kutowajibika kwa wananchi.
JK hana lolote, ingekua kweli angeshafanya tayari. Kasoro za mikataba amezijua sio leo.
Hata hivyo, waliozileta hizo kasoro mbona wameachwa tu utafikiri hamna kilichotokea.
Au hii ni ktk kuwakatia kitumbua kidogo wapinzani ili wawe bubu na kutowajibika kwa wananchi.
JK hana lolote, ingekua kweli angeshafanya tayari. Kasoro za mikataba amezijua sio leo.
Hata hivyo, waliozileta hizo kasoro mbona wameachwa tu utafikiri hamna kilichotokea.