Sango Ochwera
Member
- Mar 20, 2013
- 98
- 26
Katika taarifa yake ya habari leo saa 2:00 usiku,TBC Taifa imesema kuwa Rais Jakaya Kikwete ni miongoni mwa viongozi mashuhuri Duniani waliopata fursa ya kutoa hotuba katika Mazishi ya aliyekuwa Rais wa Kwanza mzalendo wa Afrika Kusini Nelson Mandela.
Je ni kweli katika Viongozi mashuhuri duniani na Jakaya Kikwete yumo?
Je ni kweli katika Viongozi mashuhuri duniani na Jakaya Kikwete yumo?