Ilulu
Senior Member
- Mar 22, 2008
- 161
- 31
Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kuwa mgombea wa Urais kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi atakuwapo katika Wilaya ya Nzega hapo Kesho... Tusubiri Ahadi kwa ndugu zangu wa Mji huu hasa ukizingatia ajira zinatokana na Mgodi zinafikia kikomo (Mgodi unafungwa 2012)