Rais Kikwete na ziara ya kwanza Jijini Mwanza baada ya uchaguzi

Fred Katulanda

JF-Expert Member
Apr 1, 2011
374
509
RAIS Jakaya Kikwete kesho ataanza ziara ya siku tatu mkoani Mwanza hii ikiwa ni ziara yake ya kwanza baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba mwaka 2010 na chama chake kupoteza majimbo ya Nyamagana na Ilemela.


Katika ziara hiyo mara baada ya kuwasili Rais Kikwete atahudhuria Ibada ya misa takatifu ya kuwekwa wakfu kwa Askofu Mteule Albert Randa wa kanisa la Mennonite Mwanza.


Rais Kikwete ambaye atawasili kwa njia ya ndege atapokelewa na viongozi mbalimbali ya wa mkoa wa Mwanza, ikiwa ni pamoja na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama huku mwenyeki wake akiwa ni mkuu wa mkoa wa Mwanza Abbasi kandoro na Meya wa Jiji la Mwanza ambaye ni kutoka chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Josephat Manyerere ndiye takaye mpokea kama mwenyeki wake.


Kwa mujibu wa ratiba yake iliyotolewa na ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza chini ya Abbas Kandoro, baada ya ibada hiyo ya kuwekwa wakfu kwa Askofu huyo atapumzika mpaka Jumatatu ambako atashiriki sherehe za uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya Usagara- Geita ambayo imejengwa kwa kiwango cha lami.


Baada ya kumaliza uzinduzi huo Rais Kikwete atatembelea kukagua ujenzi wa chuo cha mafunzo ya Polisi Marine ambacho kinajengwa Nyegezi jijini Mwanza kwa uhisani wa serikali ya Marekani.


Serikali ya Marekani ilifadhili kiasi cha Dola za kimarekani 3 milioni baada ya kuliana saini mkataba wa kujenga chuo hicho kwa lengo la kusaidia kukomesha uhalifu ziwani Victoria.


Mkataba huo wa ujenzi wa chuo hicho ulisainiwa na Balozi wa Marekani nchini, Alfonso Lenhardt na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi wakati huo, Lawrence Masha katika ofisi ya mkuu wa Mkoa wa Mwanza Februari 18 mwaka 2010.


Mbali na kufadhili ujenzi huo pia serikali ya Marekani ililizia kutoa msaada wa boti 10 zitakazokuwa zikifanya operesheni katika visiwa vilivyomo ndani ya Ziwa Victoria, msaada ambao utatekelezwa kwa kipindi cha miaka miwili kuanzia mwaka jana hadi mwaka huu.
 
RAIS Jakaya Kikwete kesho ataanza ziara ya siku tatu mkoani Mwanza hii ikiwa ni ziara yake ya kwanza baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba mwaka 2010 na chama chake kupoteza majimbo ya Nyamagana na Ilemela.


Katika ziara hiyo mara baada ya kuwasili Rais Kikwete atahudhuria Ibada ya misa takatifu ya kuwekwa wakfu kwa Askofu Mteule Albert Randa wa kanisa la Mennonite Mwanza.


Rais Kikwete ambaye atawasili kwa njia ya ndege atapokelewa na viongozi mbalimbali ya wa mkoa wa Mwanza, ikiwa ni pamoja na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama huku mwenyeki wake akiwa ni Meya wa Jiji la Mwanza ambaye ni kutoka chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Josephat Manyerere.


Kwa mujibu wa ratiba yake iliyotolewa na ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza chini ya Abbas Kandoro, baada ya ibada hiyo ya kuwekwa wakfu kwa Askofu huyo atapumzika mpaka Jumatatu ambako atashiriki sherehe za uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya Usagara- Geita ambayo imejengwa kwa kiwango cha lami.


Baada ya kumaliza uzinduzi huo Rais Kikwete atatembelea kukagua ujenzi wa chuo cha mafunzo ya Polisi Marine ambacho kinajengwa Nyegezi jijini Mwanza kwa uhisani wa serikali ya Marekani.


Serikali ya Marekani ilifadhili kiasi cha Dola za kimarekani 3 milioni baada ya kuliana saini mkataba wa kujenga chuo hicho kwa lengo la kusaidia kukomesha uhalifu ziwani Victoria.


Mkataba huo wa ujenzi wa chuo hicho ulisainiwa na Balozi wa Marekani nchini, Alfonso Lenhardt na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi wakati huo, Lawrence Masha katika ofisi ya mkuu wa Mkoa wa Mwanza Februari 18 mwaka 2010.


Mbali na kufadhili ujenzi huo pia serikali ya Marekani ililizia kutoa msaada wa boti 10 zitakazokuwa zikifanya operesheni katika visiwa vilivyomo ndani ya Ziwa Victoria, msaada ambao utatekelezwa kwa kipindi cha miaka miwili kuanzia mwaka jana hadi mwaka huu.

vipi ana walinzi wa kutosha?


Source please au wewe ndo Salva?
 
Ni bora kwasababu Mwaka 2005 Mwanza Mjini ilimpa kura zaidi ya Majimbo yote Tanzania alipata zaidi ya asilimia 95%

Lakini baada ya kuwa na Lau Masha na Ubinafsi wake inasemekana Lau Maeneo ya Mabatini Polisi Lau alipata kura 4 na rais alipata asilimia 15 tu na Pale Mabatini ndio Nyumba za Polisi na Familia zao wanakoishi...

Lau ndio aliyemuangusha Rais Mwanza ... KAZI IPO!!!
 
Ulinzi kama kawa yeye ni amiri jeshi mkuu na rais wa watanzania pamoja na wanachama wa CDM akiwemo Dr. Slaa

Hana maana hiyo ya polisi. Mwanza alishadondoka na sasa mchawi wake keshakufa. Ameshapata mchawi mwingine? Au ndo wewe?
 
rais jakaya kikwete kesho ataanza ziara ya siku tatu mkoani mwanza hii ikiwa ni ziara yake ya kwanza baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu uliofanyika oktoba mwaka 2010 na chama chake kupoteza majimbo ya nyamagana na ilemela.


Katika ziara hiyo mara baada ya kuwasili rais kikwete atahudhuria ibada ya misa takatifu ya kuwekwa wakfu kwa askofu mteule albert randa wa kanisa la mennonite mwanza.


Rais kikwete ambaye atawasili kwa njia ya ndege atapokelewa na viongozi mbalimbali ya wa mkoa wa mwanza, ikiwa ni pamoja na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama huku mwenyeki wake akiwa ni meya wa jiji la mwanza ambaye ni kutoka chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) josephat manyerere.


Kwa mujibu wa ratiba yake iliyotolewa na ofisi ya mkuu wa mkoa wa mwanza chini ya abbas kandoro, baada ya ibada hiyo ya kuwekwa wakfu kwa askofu huyo atapumzika mpaka jumatatu ambako atashiriki sherehe za uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya usagara- geita ambayo imejengwa kwa kiwango cha lami.


Baada ya kumaliza uzinduzi huo rais kikwete atatembelea kukagua ujenzi wa chuo cha mafunzo ya polisi marine ambacho kinajengwa nyegezi jijini mwanza kwa uhisani wa serikali ya marekani.


Serikali ya marekani ilifadhili kiasi cha dola za kimarekani 3 milioni baada ya kuliana saini mkataba wa kujenga chuo hicho kwa lengo la kusaidia kukomesha uhalifu ziwani victoria.


Mkataba huo wa ujenzi wa chuo hicho ulisainiwa na balozi wa marekani nchini, alfonso lenhardt na waziri wa mambo ya ndani ya nchi wakati huo, lawrence masha katika ofisi ya mkuu wa mkoa wa mwanza februari 18 mwaka 2010.


Mbali na kufadhili ujenzi huo pia serikali ya marekani ililizia kutoa msaada wa boti 10 zitakazokuwa zikifanya operesheni katika visiwa vilivyomo ndani ya ziwa victoria, msaada ambao utatekelezwa kwa kipindi cha miaka miwili kuanzia mwaka jana hadi mwaka huu.
anajipendekeza kweli kwenye makanisa mzeee wa kicheni part!
 
Me nilikuwa nafikiri anaenda kuwashukuru wananchi kwa kumchagua kwa mara ya pili kurudi Magogoni, kumbe anaenda kuzindua barabara na jengo la polisi marine, halafu na kudoea mnuso wa kanisa, khaaa rais mlafi huyu, uo uzinduzi ungefanywa hata na Kandoro ingekuwa poa tu. Mami, Ngosha akija huyo mfanyeni kama Nyambari Nyangwine.
 
Huko mwanza visiwani kuna vizisiwa wala hawjui raisi wala hawana umuhimu wa serikali kuu. Kuna visiwa wana systm zao mahaama zao na sytem zao za utawala wao na maisha yao.

Na Hayo Majambazi sugu ambayo ndiyo yanamiliki au marais wa visiwa hivyo ndo wafadhili wakubwa wa CCM.



Tushukuru serikal ya USA kwa kujali usalama wa watumiji wa ziwa victoria
. Hivi na vifaa vya kijeshi huwa tunomba misaada ?
 
JK anakuja mwanza kuwaangukia wafanyabiahara wa mwanza baada ya kupoteza majimbo yanyamagna na ilemela na anaeinjinia ni gachuma hiyo ya barabara ni danganya toto
 
Sijui kama kuna wanaotegemea kumwona huyu fisadi Mwanza ...

Tunawaomba wenyeji wa Mwanza na Familia zenu kaeni mbali na kama wanawapa pesa kumpigia makofi kikwete zichukueni kwasababu ni mali zenu na mlishe familia zenu. Kama mkiweza mzomeni kikwete na mafisadi wao watakaoongozana nae huku Mwanza.

Ziara za Kuwanunua Watanzania zimeanza na kama huu sio violation of democracy ni nini? Alimchagua na kumpigia kikwete kura Mwanza ni nani?

"Hata ukitumia pesa za serikali na vyombo vya ulinzi Tanzania wote hawa ni ndugu zetu na Hawakutaki kikwete, Mungu Apendi Uongo Hata Mara Moja"
 
Back
Top Bottom