Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,119
Atajifungua lini au anamsubiri specialist Dr Lusinde a.ka KibajajiJohn Mnyika. Ni moja ya vijana ambao wapo makini wanao hitaji support ya wananchi makini na wenye uchungu na nchi hii.
Atajifungua lini au anamsubiri specialist Dr Lusinde a.ka KibajajiJohn Mnyika. Ni moja ya vijana ambao wapo makini wanao hitaji support ya wananchi makini na wenye uchungu na nchi hii.
JK ni rais dhaifu sana! By JJ Mnyika.chezea Mnyika wewe!!Leta picha tuone Myinka anavyo jichekeleza mbele ya Amiri Jeshi
Sina mana hyo!
jamani kweli binadamu hawana shukrani. Mnalalamika sana kwamba raisi kazi yake ni kusafiri tu hafanyi kazi yoyote hapa tanzania, leo anafanya kazi yake ya kuongea na wananchi mnaanza kuzusha upumbavu wenu. Kweli kabisa shukrani ya punda ni mateke.
tatizo sio hilo dear, huwa anafanya yale asiyopaswa kufanya na yale anayopaswa hafanyi, ndio maana kelele mingi
Huyo raisi nae, hizo si angeacha waziri wa afya ndio azundue?
Kwani mzee wa mkasi na utepe yupo wapi?
Leta picha tuone Myinka anavyo jichekeleza mbele ya Amiri Jeshi
Labda Rais wa twanga pepetaNatabiri JJ Mnyika kuwa rais miaka ijayo.
Natabiri JJ Mnyika kuwa rais miaka ijayo.
Hata enzi za utawala wa kitemi watemi walijulikana wakiwa bado vijana kama inavyotokea kwa kijana huyu.ama kweli ni mtemi wa kesho
Huyo raisi nae, hizo si angeacha waziri wa afya ndio azundue?
JK ni rais dhaifu sana! By JJ Mnyika.chezea Mnyika wewe!!
Ndugu wadau bila shaka nyote ni wazima.
Nipo hapa Sinza Palestina ambapo Rais Kikwete atakuwepo katika kuzindua Hospitali ya Sinza, viongozi mbalimbali wa serikali za mitaa kata ya Sinza na maeneo mengine ya Jiji la Dar.
Mheshimiwa Mnyika amewasili pamoja Na Diwani wa Sinza Ndugu Renatus Pamba.
Ndugu nitazidi kuwaletea yatakayojili.
Hivi ww waweza kumlinganisha Rais wa nchi na Mnyika ? Mnyika ni nani ndani ya nchi? yeye anashughulika na watu milioni 1, wakati rais wa nchi ni zaidi ya watu milioni 50. Kumlinganisha JK na Mnyika ni sawa kulinganisha kichuguu (Mnyika) na Mlima kilimanjaro (Dkt JK)