Rais Kikwete na mipango ya uchumi kwa Tanzania miaka 5 ijayo

"Mwenyez mungu anatupenda kweli "ndo usemi umetawala kila anachosema
 
Kuuza umeme nje!!!!!!!!!!!!!! upuuzi mkubwa, huu tulionao tu haututoshi, kitambaa cha chupi tunang'ang'aniza tutoe suti, lol akili nyingine bwana haziendani na nguo wanazovaa
 
Anadai tukitaka kuendelea lazima tuwe na cement, na anadai malighafi za kuzalishia cement ni nyingi sana...

Anadai kuongeza viwanda vya cement ili kuuza ndani na nje.

Na anadai kuweka kiwanda cha chuma, kwa kuwa tuna malighafi nyingi sana.
 
:glasses-nerdy:Tunazo tani billioni kumi na mbili za chuma pale liganga, ila inaonekana haamini kuwa ni taarifa za kweli kwani anahisi wakati mwingine huwa anadanganywa ili aruke juu
 
anazungumzia chuma ya liganga toka niko primary nasoma chuma liganga mpaka leo jk na yeye anapiga porojo za liganga khaaaa
 
huyu jamaa muongo tume maliza mwaka sasa home bila kazi.. soon wadogo zetu wanatu join. sasa izo ajira ziko wapi??

hata hajaongelea ajira,uyo jamaa ni muongo sana! Ajira kwanza zitoke wapi wakati serikali imeishiwa. Wahitimu wa vyuo mwaka jana 2010,99% hawajapata kazi wala kuitwa interview, kumbuka mwezi huu tena zaidi ya wahitimu elfu7 wanaingia mtaani?! Jamani,hali ya ajira bado ni tete!
 
Analalamika masikini, uwekezaj wa viwanda hata yanayotumia malighaf za nje mf. Bodaboda
 
Kuuza umeme nje!!!!!!!!!!!!!! upuuzi mkubwa, huu tulionao tu haututoshi, kitambaa cha chupi tunang'ang'aniza tutoe suti, lol akili nyingine bwana haziendani na nguo wanazovaa
Ahaaaa ahaaaa umeona mkuu halafu wale crap wenzake wanacheka na kushangilia wakitoka hapo utasikia kuna maandamano ya kumpongeza kwa hotuba nzuri
 
Njia pekee ya kuhamasisha ujengaji viwanda ni kuweka kodi kubwa kwenye import na kupunguza kodi za ndani mfano hii inayiitwa SKILLS DEVELOPMENT LEVY.
 
Sija elewa mtoa mada anamaanisha nini, unamaana lowasa sasa asionekani nchini?, ana dhambi gani hata hutaki kumuona. Huyo unayetaka kumuona ni msafi kiasi gani?
 
hata hajaongelea ajira,uyo jamaa ni muongo sana! Ajira kwanza zitoke wapi wakati serikali imeishiwa. Wahitimu wa vyuo mwaka jana 2010,99% hawajapata kazi wala kuitwa interview, kumbuka mwezi huu tena zaidi ya wahitimu elfu7 wanaingia mtaani?! Jamani,hali ya ajira bado ni tete!
Hana hata uwezo wa kulizungumzia hili maana litakula kwake, mishahara yenyewe tu imekuwa ishu
 
Kuuza umeme nje!!!!!!!!!!!!!! upuuzi mkubwa, huu tulionao tu haututoshi, kitambaa cha chupi tunang'ang'aniza tutoe suti, lol akili nyingine bwana haziendani na nguo wanazovaa

duh ... unga robo wageni wa nini.....?
 
Zile ahadi za uchaguzi vipi tena maana naona anazidisha orodha.
 
Kuongeza miundo mbinu ya hotel, na sekta ya utalii.

Vile vile rasilimali watu, kuendele kuboresha elimu, afya na ICT.

Anaongelea mkongo wa taifa na jinsi atakavo tanua matumizi ya mtandao.
 
Back
Top Bottom