lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,466
- 9,028
Fikiria kama watu sote duniani tukikaa kimya ni nini kitatokea ...Akina Zitto (Buzwagi), Dr. Slaa (EPA), Kafulila (Escrow) nk!! Kitendo cha EL kukaa kimya karibia miaka nane juu ya suala lililoumiza na linaloendelea kuumiza vichwa vya watu ni uhaini mwingine na ishara ya wazi asivyostahili kushika nafasi ya juu.Lowasa kwa nini alikuwa kimya muda wote watanzania hatuwezi kuamini atakachokiongea kuanzia sasa kuhusu richmond .
VOTE FOR UKAWA
Niliamini, ninaamini na nitaendelea kuamini kuwa siku moja mmiliki halisi wa Richmond atatajwa hadharani na kuondoa utata wa yule ustaadh aliyejifanya anakagua mitambo pale Ubungo. Safari imefika pazuri!