Landala
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 997
- 473
Ni miezi kama sita imekwisha pita toka rais Jakaya Mrisho Kikwete achaguliwe kuongoza Tanzania kwa awamu ya pili,swali ambalo wananchi wengi wanajiuliza ni kuwa mbona toka achaguliwe hajafanya ziara hata mkoa mmoja kwenda kuwashukuru wapiga kura wake waliomrudisha tena madarakani?Jk nakushauri ulitafakari hili kwa umakini na uchukue hatua,mbona safari za nje anaenda,je nje ndio walio mchagua awaongoze?Yeye kazi yake imebaki kulalamika tu pale white house hata wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa ameshindwa kuteua.