Rais Kikwete kuzungumza na Wazee wa Dar jioni ya leo (Nov 18, 2011)

Status
Not open for further replies.
Kuzungumza ni kitendo cha watu wawili au zaidi kujibizana katika jambo fulani. Sasa hapa Kikwete anahutubia au anazungumza nahao wazee wengi wao ufahamu sifuri.
 
Hivi Dar es salaam ndo kuna wazee tu; mikoa mingine hakuna wa rika hilo?. YAonekana wazee wa Dar ni wazee wa akili mbovu!
 
Ataongelea Suala la Jairo na wenzake ingawa la katiba nalo itakuwa sehemu ya hotuba.
Alafu hawa wazee usikute wengine ndo wale wa EA ambao mkwanja hawajaupata
Ningekuwa mimi apo ndo mahara pa kudai mkwanja ila wakipigwa pilau maji ya uhai na visoda vya apa na pale kushney mwendo wa makofi tuu
 
Highlight this story [h=6]Jakaya Kikwete
Leo,Novemba 18,2011,nitazungumza na wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam katika Ukumbi wa PTA,Barabara ya Kilwa kuanzia majira ya saa 10 kamili za jioni.Nitautumia pia wasaa huo kuzungumza na taifa zima kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu mustakabali wa taifa.[/h]
 
Hao wazee walioshia darasa la 4, ndio level yake..Hawezi akaongea kitu mbele ya wasomi wenye elimu zao.
 
Huyo mwenye shati la maji ya bahari nyuma ya Mzee Mweinyi nae ni .........mhhhh mzee wa Dar es salaam
Unajuwa sanaa inayofanyika hapo huyo Kakobe anaingia hapo kwa kofia ya viongozi wa madhehebu ya dini, hili huwa linafanyika kuballance protocal.
 
Wazee wenyewe ndio hawa

ari.jpg
 
Hao wazee wako wale wanaoidai serikali mafao yao ya afrika mashariki?...kama watakuwepo watakimbizana
 
sijawai kusikia mweshimiwa kaongea na wazee wa arusha,mbeya,mwanza kwani huko hakuna wazee?????
 
sijawai kusikia mweshimiwa kaongea na wazee wa arusha,mbeya,mwanza kwani huko hakuna wazee?????

mbeya mlisha mtwanga mawe, mwanza walitaka kumbinua na juzi alienda kufungua barbara zilizoko hap mwanza mwana mwanza walimkalibisha kwa bendera na v..arusha juzi alishomoa dakik z mwisho..amebaki na w watu wa dar
 
JK ni Rais kilaza kuliko marais wote duniani lakini bahati nzuri kwake ni kuwa hata anaowaongoza nao ni vilaza na makondoo ya kutupwa.

LoH Mwita naanza kushawishika ndugu yangu kweli watu wanaweza kuokoka na kwenda mbinguni ni wewe kweli yule wewe au mshahara umechelewa
 
Mbona hamjielewi mara akaongee na wasomi,wanaharakati mara ooh anahoja gani,ina maana mnampangia Rais nini cha kufanya? Mmeajiriwa lini Ikulu?

Kuna tofauti kubwa kati ya Rais kuongea na watu wenye busara zao kuliko kuongea na waropokaji kama wa JF
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom