Rais Kikwete kuwasili Houston na msafara wa kitajiri Oktoba 3

Nadhani litakuwepo si unajua tena wabongo na wanugu hawana tofauti. Mnugu inabidi umuwekee kuku tu. Tayari umemnasa.

Hehehehehe...eti mnugu mwekee kuku tu...lakini kweli aisee. Ila mimi napenda sana soul food aisee...hasa wale kuku wanaokuwa wamepikwa na asali....aaah acha bana....maisha matamu bana...khaaaaaa
 
Hehehehehe...eti mnugu mwekee kuku tu...lakini kweli aisee. Ila mimi napenda sana soul food aisee...hasa wale wanaokuwa wamepikwa na asali....aaah acha bana....maisha matamu bana...khaaaaaa


Mimi pia nilikuwa naipenda soul food lakini inaleta matatizo baadaye kwa sababu ya mafuta. Siku hizi nipo kwenye saladi ingawaje kutafuna majani naona haipandi.
 
Sisi waTanzania bwana! Sometimes nadhani Ndivyo Tulivyo!! Yaani katika post hii yote nobody even bothered to look further than the opinions forwarded by kinepi_nepi...and I find that to be quite amazing.

Has anyone bothered to ask what is DICOTA? Lengo, madhumuni, etc etc? So why the hell do we go and start rambling about a thing that many of us up in here don't even seem know? Come, come, Tanzanians, this is too much now!! Khaaa!!! (BTW, Some of the ideas that people have been circulating on this topic seem to be sound to a certain degree, though)

Si kweli waTanzania waishio Marekani hawajaalikwa - as far as I know information hizi zilitumwa kwa mailgroups kibao zilizopo Marekani kama vile ile ya waishio Dallas, TX - www.dallasbongo.com; ile ya waishio Houston, TX, wa Minnesota, DC etc. Kwa wale members wa Face Book habari hizi zimo mule and I think Michuzi alitoa kama sijakosea. Humu ndani ya JF I sincerely think some people got it individuallyly - I did.

http://www.dicotaus.org/
 
Kila la heri Watanzania wenzetu muishio ughaibuni. Huu ni mpango mzuri kwa mnaoishi Amerika. Na wale ambao mnaishi nchi nyingne duniani msisahau nyumbani kwenu. Ni vema mjitolee kuwa na mikakati ya kuwafikia watanzania wahitaji, hasa kama mkiwezesha kuleta wawekezaji wa kikweli si wale wa 10% kama Richmond na wengine wa aina hii. Naamini nyie mkitafuta dedicated investors basi mtasaidia sana kuondoa au kupunguza kabisa wawekezaji uchwara. Kwa mantiki hiyi tutapata ajira na kodi kwa maendeleo ya taifa letu. Aluta continua.
 
Tanzania tutaendelea kukamuliwa hivi hivi kila kukicha kwa sababu ya kuendekeza politics kwenye mambo yanayohitaji taaluma ya fani inayohusika.

Hapo Mkuu umegonga penyewe kabisa...tuko pamoja hapo Mkuu.

Kula 5.
 
unsettled and luxurious presdent who dares to talk to his people through tv rather than visiting there villages to see and solve their problems........this is the kind of president i have been dreaming ,of the president who believes much on aids grants and loans rather than making internal effort to make sure that our ambundant natural endowment are well exploited for the better of the nation and its people..........
well wisher to our pres for his many trips to us....
 
Last edited:
Mimi pia nilikuwa naipenda soul food lakini inaleta matatizo baadaye kwa sababu ya mafuta. Siku hizi nipo kwenye saladi ingawaje kutafuna majani naona haipandi.

"If you don't take time for wellness, you are going to have to take time for sickness" - Mavitabu ya Zakumi
 
Lo. Mpaka huyu Sind Bad aondoke IKULU, NCHI ITAKUWA IMEFILISIKA! Sijui tufanyeje.

Huyu bwana ni SIND BAD, IBN BATUTA na VASCO DAGAMA all in one!! Nadhani uwaziri wa mambo ya nje bado haujamtoka. Huwezi kupata wawekezaji mahili kuja kuwekeza nchi yenye MALUWELUWE kama hii!! Ufisadi ndio unazidi kupanda na umeme ndio huo wa mgao karibu nusu ya nchi; Rashid anatukomoa kwa kukataa kununua mitambo ya maswahiba wake wa Dowans; kwahiyo muungwana muacheni akatalii tu lakini sio kutuletea wawekezaji!! Wamarekani wenyewe uchumi wao hivi sasa uko hohehahe sasa hao wawekezaji gani mnaotegemea kuja kuwekeza Bongo?
 
"If you don't take time for wellness, you are going to have to take time for sickness" - Mavitabu ya Zakumi

Mara nyingi watu wanaotoa ushauri wao wenyewe hawafuati huo ushauri wanaotoa!! Sawa na mapadri wasemao FUATA MAFUNDISHO YANGU NA SIO MATENDO YANGU!! Kupata kilevi sana sio taking care of wellness.!
 
Sisi waTanzania bwana! Sometimes nadhani Ndivyo Tulivyo!! Yaani katika post hii yote nobody even bothered to look further than the opinions forwarded by kinepi_nepi...and I find that to be quite amazing.

Has anyone bothered to ask what is DICOTA? Lengo, madhumuni, etc etc? So why the hell do we go and start rambling about a thing that many of us up in here don't even seem know? Come, come, Tanzanians, this is too much now!! Khaaa!!! (BTW, Some of the ideas that people have been circulating on this topic seem to be sound to a certain degree, though)

Si kweli waTanzania waishio Marekani hawajaalikwa - as far as I know information hizi zilitumwa kwa mailgroups kibao zilizopo Marekani kama vile ile ya waishio Dallas, TX - www.dallasbongo.com; ile ya waishio Houston, TX, wa Minnesota, DC etc. Kwa wale members wa Face Book habari hizi zimo mule and I think Michuzi alitoa kama sijakosea. Humu ndani ya JF I sincerely think some people got it individuallyly - I did.

http://www.dicotaus.org/
people knows what dicota is (do not underestimate JF members), ndio maana wanahoji kwa nini JK atoke TZ to marekani kwa ajili ya dicota. is mr balozi not enough??
 
hii mitanzania ya Texas/dicota mijizi na huyu rahisi wetu hana kazi,seriously.yani anafunga safari kutafuta wawekezaji wakati investments wanazigawa(nazungumzia TRL,TTCL,Madini yetu na vingine vingi tu).

KIBAYA chajiuza chema chaitembeza..,if we did our part right hao wawekezaji watakuja tu.lakini hao wa kuwafuata ni wabangaizaji tu!

kweli Nyerere was right,nchi masikini ni sawa na mwanamke aliyevaa mavazi yanayotamanisha.ukiweka mix ya kiongozi vision-less unapata basi lisilo na breki kwenye mteremko mkali.

samahani kwa lugha kali ila hii mijitu mingine inaboa.ndugu zetu wanakufa na njaa,maji safi hakuna,umeme wa magutu ol they can think ni kumuongezea trip huyu vasco da gama wetu wakati on his own he is pretty good at making them.

na nyie DICOTA kama mnaipenda TZ why don't you start by doing tangible things instead of these useless publicity pranks?!
 
Jamani si kuna mkutano wa UN au! Mimi sioni ubaya kuja Houston kama kuna mkutano NY!!
 
Huyo ameshatoa amri ya kuuwa watu Pemba sasa amekimbia kama alivyokimbia Mkapa na kumwacha Dr Omar (Marehemu) ila sasa ameachiwa mzee wa mikasi ,tegeni sikio Pemba msikie watu wanavyouliwa.Ila wapemba wameshasema umoja ni nguvu hawatomwonea haya yeyote yule na watapambana kwa njia zote zitakazokuwa mbele yao.
 
Mimi naona tatizo ni Watanzania kutharauliana! Je Watanzania wa Marekani ni kiasi gani wanasaidia nyumbani kwa kutuma pesa na biashara?. Kwani kuna ubaya gani raisi wa Tanzania kuongea na Watanzania anapokuja kwenye mkutano wa UN. Watanzania wanafanya kitu cha maana kwenye hili na raisi anatakiwa kuonyesha support yake. Mimi naona ni bora Raisi aongee na watanzania na kuwashauri wa invest nyumbani badala ya kuja kuongea na watu bila kujali Watanzania.
 
Mimi naona tatizo ni Watanzania kutharauliana! Je Watanzania wa Marekani ni kiasi gani wanasaidia nyumbani kwa kutuma pesa na biashara?. Kwani kuna ubaya gani raisi wa Tanzania kuongea na Watanzania anapokuja kwenye mkutano wa UN. Watanzania wanafanya kitu cha maana kwenye hili na raisi anatakiwa kuonyesha support yake. Mimi naona ni bora Raisi aongee na watanzania na kuwashauri wa invest nyumbani badala ya kuja kuongea na watu bila kujali Watanzania.
Ukiritimba wa kuinvest Tz kwa waTz ni mkubwa na hata hao wandugu ukiwapelekea mtaji watautafuna wote ,hivi hujasikia kama wakulima wanakula mbegu ,ndo maana yake.
 
Back
Top Bottom