Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,384
- 92,710
- Thread starter
- #101
Unafki uko wapi? kama wewe unakaa CHADEMA kweli sema ukweli hapa ili watu waijuwe kweli, baada ya Ubalozi wa Marekani Dar esalaam kulipuliwa wale CIA walifuata nini pale kwenye msikiti wa Markaz?Ama kweli sasa udini umekithiri mpaka hali inatisha! Unafiki wenu umepitiliza! Mna ushahidi gani nyinyi? Mimi ninaishi hapa Chadema Markaz na huo msikiti wa markaz ndio ninao swali swala zangu zote! Na hao watoto wanasoma hapo tunao muda wote hakuna jingine zaidi ya kuhifadhishwa elimu ya Quran. Na hayo mafunzo ya karate wala si kwao wanafunzi yeyote anaetaka anajiunga kama madojo mengine! Kama mnataka kujiunga mje kujiunga hakuna pingamizi lolote! Acheni unafiki na uchochozi wa kidini! Tanzania ni nchi yetu wote! Acheni unafiki!