amakyasya
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 3,480
- 907
Rais Kikwete amealikwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha la maombi ya kuliombea taifa na kufunga mwaka mnamo tarehe 31, desemba 2014.
Source : Wapo radio fm.
My take: Ni muda muafaka kwa JK yeye mwenyewe kufanyiwa maombi kwa majanga, madudu yote yaliyofanyika chini ya uongozi wake.
Source : Wapo radio fm.
My take: Ni muda muafaka kwa JK yeye mwenyewe kufanyiwa maombi kwa majanga, madudu yote yaliyofanyika chini ya uongozi wake.