PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Maana yake ni kuwa JK yupo kotekote, mbele na nyuma!Nyie, msiojua maana , hao kwenye picha wanalitazama nyuma hilo zulia, kwa nini?
Maana yake ni kuwa JK yupo kotekote, mbele na nyuma!Nyie, msiojua maana , hao kwenye picha wanalitazama nyuma hilo zulia, kwa nini?
hivi raisi wa nchi anapochorwa kwenye zulia la kukanyagia mns akili yake iko kama zulia lakukanyagia
je huyu mhe kumtuma mkewe apokee zulia lenye sura yake anastahili??
Kwenu wadau naomba maoni kablayakuwakilisha itv saa mbili ka sorobo tfdl
Hilo hata ukutani linakaa...
afadhali ukaliwe kuliko kukanyagwa mkuu loh
Hilo ni la kutundika unanini wewe.
Nyie, msiojua maana , hao kwenye picha wanalitazama nyuma hilo zulia, kwa nini?