Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,052
Sipendi kuwa mnafiki wala kuitwa mbeya
kwa kweli kwanza naomba niwape pole kwa familia ya mh capt J. Yamungu
ni huzuni kubwa kuondokewa kwa unaempenda ....ni wakati muhimu sasa
familia kuwa kitu kimoja bila kujali itikadi zilizokuwepo na kumwomba
mungu awaongoze muweze kumpumzisha babayetu salama
Huzuni yangu kubwa ni kitendo cha kusikia kwenye redio mbili leo kwamba
mzee alikuwa akiishi guest house,,nazani kwa cheo alichokuwa nacho alistahili
kutafutiwa hotel nzuri tu tena ya heshima...nijuavyo mkuu wa wilaya na mkoa
wanamwakilisha rais..sasa hata kama nyumba yake inafanyiwa marekebisho
sidhani na bado nahuzunika kwa hili akustahili kuishi guest house
mbaya ni taarifa zinasema mhudumu wa guest house ndie aliemgongea mzee baada ya kusikia
akikoroma vibaya na alipoona ajibiwi akaita kamati ya ulinzi na kuamua kuvunja mlango
ni mapenzi yangu chini ya uongozi wako akutakuwa na wakuu wa wilaya kulala guest
house nasema hivi kila mtu anajua uchafu wa guest house ni rahisi viongozi kama hawa kudhurika
hasa ukizingatia wanakuwa kwenye channels nyingi na wakati mwingine wanaitajika kutoa maamuzi
magumu ambayo raisi wangu unayaogopa kwa wengine..sasa sitoshangaa kusikia hata mzee walimwekea kitu yakatokea haya yalipo kwa kuwa usalama ni mdogo sana guest house kuliko hotel kubwa zenye hadhi ambazo serikali mna uwezo wa kulipa
raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani mzee wetu yamungu/j na wote mseme
amen
kwa kweli kwanza naomba niwape pole kwa familia ya mh capt J. Yamungu
ni huzuni kubwa kuondokewa kwa unaempenda ....ni wakati muhimu sasa
familia kuwa kitu kimoja bila kujali itikadi zilizokuwepo na kumwomba
mungu awaongoze muweze kumpumzisha babayetu salama
Huzuni yangu kubwa ni kitendo cha kusikia kwenye redio mbili leo kwamba
mzee alikuwa akiishi guest house,,nazani kwa cheo alichokuwa nacho alistahili
kutafutiwa hotel nzuri tu tena ya heshima...nijuavyo mkuu wa wilaya na mkoa
wanamwakilisha rais..sasa hata kama nyumba yake inafanyiwa marekebisho
sidhani na bado nahuzunika kwa hili akustahili kuishi guest house
mbaya ni taarifa zinasema mhudumu wa guest house ndie aliemgongea mzee baada ya kusikia
akikoroma vibaya na alipoona ajibiwi akaita kamati ya ulinzi na kuamua kuvunja mlango
ni mapenzi yangu chini ya uongozi wako akutakuwa na wakuu wa wilaya kulala guest
house nasema hivi kila mtu anajua uchafu wa guest house ni rahisi viongozi kama hawa kudhurika
hasa ukizingatia wanakuwa kwenye channels nyingi na wakati mwingine wanaitajika kutoa maamuzi
magumu ambayo raisi wangu unayaogopa kwa wengine..sasa sitoshangaa kusikia hata mzee walimwekea kitu yakatokea haya yalipo kwa kuwa usalama ni mdogo sana guest house kuliko hotel kubwa zenye hadhi ambazo serikali mna uwezo wa kulipa
raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani mzee wetu yamungu/j na wote mseme
amen