Kwa mudamrefu nimekuwa najiuliza hivi ndugu kikwete ni kweli unashindwa kuamini kwamba Dr. Idris Rashid alihusika ktk kashfa ya rada, IPTL? mpaka unaendelea kumpa vyeo ambavyo hata hivyo ameshindwa kufanya mabadiliko yoyote pale TANESCO?
Sasa tuna mgao wa umeme mikoa sita, Rashid amekaa kimya na kwa sababu alisha sema kuwa nchi itakuwa gizani serikali isipo nunua mitambo ya dowans, ameona wala asiseme lolote kwani anajua alisha toa tahadhari.
Mkulu Rais jakaya kikwete, huoni kwamba unapoteza credibility ya kuwa rais pale unaposhindwa kuchukua uamuzi sahihi ktk uteuzi wa baadhi ya watendaji??
Kikwete, unazidiwa hata na rais wa Zambia mwanamke amemsimamisha kazi mkuu wa taasisi ya kuzuia rushwa nchini humo baada ya kuboronga kesi ya Chiluba!! Wewe mafisadi, akina Hosea et al wanakula nchi tu na wewe unacheka nao??
Angalia bandarini kulivyo oza, siku moja ukadiriki kusema unawajua wala rushwa pale bandarini, je, umewafanya nini watu hao?? mbona uozo pale unaendelea huku TICTS wakiendelea kuwabambikiza storage charges wafanya biashara wanaopitisha mizigo pale???
Ni seme wazi Rais Kikwete unatukera kwa kutofanyia kazi maoni yetu hapa JF, lakini kumbuka JF inaweza kukushauri vyema kuliko hao akina kingunge na wenzake.
Sasa tuna mgao wa umeme mikoa sita, Rashid amekaa kimya na kwa sababu alisha sema kuwa nchi itakuwa gizani serikali isipo nunua mitambo ya dowans, ameona wala asiseme lolote kwani anajua alisha toa tahadhari.
Mkulu Rais jakaya kikwete, huoni kwamba unapoteza credibility ya kuwa rais pale unaposhindwa kuchukua uamuzi sahihi ktk uteuzi wa baadhi ya watendaji??
Kikwete, unazidiwa hata na rais wa Zambia mwanamke amemsimamisha kazi mkuu wa taasisi ya kuzuia rushwa nchini humo baada ya kuboronga kesi ya Chiluba!! Wewe mafisadi, akina Hosea et al wanakula nchi tu na wewe unacheka nao??
Angalia bandarini kulivyo oza, siku moja ukadiriki kusema unawajua wala rushwa pale bandarini, je, umewafanya nini watu hao?? mbona uozo pale unaendelea huku TICTS wakiendelea kuwabambikiza storage charges wafanya biashara wanaopitisha mizigo pale???
Ni seme wazi Rais Kikwete unatukera kwa kutofanyia kazi maoni yetu hapa JF, lakini kumbuka JF inaweza kukushauri vyema kuliko hao akina kingunge na wenzake.