TIBANYENDERA
Member
- Feb 16, 2011
- 20
- 0
Wenzangu, ndugu wantanzania na wazalendo wa taifa letu, jana tumeskia vizuri na kwaumakini hotuba ya raisi wetu wa tanzania. kiuchambuzi ni kwamba unaweza kujiuliza maswali yafuatayo;
1. kwanini kwa mda wa miezi mitatu hakuwahi kutoa hotuba kwa wananchi?, kwa nini iwe jana
2. kwanini hotuba ya raisi kwa wananchi iendane sambamba na lawama kwa CHADEMA
3.Kwanini hotuba ya raisi haikuwa na lengo lakutoa suluhu la matatizo
4. je kinachoongelewa na CHADEMA, mfano ugumu wa maisha kwa watanzania ni uongo?
haya ni maswali yamsingi tunapochambua hotuba ya mwisho wa mwezi.
lakini kimantiki na uharisia wenyewe ni kwamba taifa la tanzania liko ktk wakati mgumu; kiuchumi, kisiasa na hata kiutamaduni. Na chama cha siasa kazi kubwa ni kulinda ustawi wa wananchi, hivyo chadema hakina kosa lolote la kisiasa sababu lengo kubwa la chama hicho si kutekeleza sera za chama tawala bali kuonesha ubovu wa sera za chama tawala kwa kuzilinganisha na ubora wa sera zao. practically ndo maana sera za CCM zimesababisha taifa letu liwe na wakati mgumu na hasa maisha magumu kwa watanzania.
Hivi taifa kama haliwezi kupiga hatua kimaendeleo ninani wakulaumiwa, je ni CHADEMA au ni chama Tawala pamoja na serikali yake? ktk taifa lolote ugumu wa maisha imekuwa ni kura ya turufu ya kukiondoa chama tawala madarakani kwa sababu ya kushindwa kudeliver kwa wananchi.
jambo jingine nawaomba watanzania wenye uelewa kama wengine ni wafahamishe kuwa kujua ni lini tunakuwasema chama kinafanya kazi ya kisiasa. si wakati wa kampeni tu, kazi za siasa huendelea tena kwa kasi zaidi na ali zaidi baada ya uchaguzi. hii ni kwasababu chama pinzani lazima kiwafundishe wananchi amabao kwauelewa wao wanashindwa kujielewesha kuwa pamoja na kuwa hawajawachagua ndiyo maana wanapata matatizo ya kiuchumi.
Siasa huendana timing, kwa hili chadema ina timing nzuri kwasababu hali ya maisha ni ngumu. hizi ni mbinu za kisiasa ndugu zangu.
ktk hili huwezi9 kusema kwamba CHADEMA INALETA VURUGU HATA KIDOGO, NINI MAANA YA VURUGU? NA AMANI? JE MANI INATOWEKA PALE MTU UNAPOMFAHAMU MWIZI WAKO? NI KWELI KWASABABU UKIWA RAFKI YANGU NIKAJA KUGUNDUA KUWA UNATEMBEA NA MKE WANGU, LAZIMA NITANGAZE UADUI NI KUCHUKULIE HATUA ZA KISHERIA, CHADEMA INAFANYA HIVO INAWAELIMISHA WANANCHI KUJUA HALI HALISI YA TZ, ELIMU DHIDI YA HAKI ZAO,MATUMIZI YA RASLIMALI ZAO, UFISADI ILI WWANANCHI HAO WACHAGUE LA KUFANYA
tulitegemea raisi atatoa majibu ya matatizo ya wananchi. hakufanya hivo. Lakini nihitishe kawjambo moja tu, tulikubali mfumo wa vyama vingi tuache vyama hivyo vifanye kazi zake za kisiasa.
1. kwanini kwa mda wa miezi mitatu hakuwahi kutoa hotuba kwa wananchi?, kwa nini iwe jana
2. kwanini hotuba ya raisi kwa wananchi iendane sambamba na lawama kwa CHADEMA
3.Kwanini hotuba ya raisi haikuwa na lengo lakutoa suluhu la matatizo
4. je kinachoongelewa na CHADEMA, mfano ugumu wa maisha kwa watanzania ni uongo?
haya ni maswali yamsingi tunapochambua hotuba ya mwisho wa mwezi.
lakini kimantiki na uharisia wenyewe ni kwamba taifa la tanzania liko ktk wakati mgumu; kiuchumi, kisiasa na hata kiutamaduni. Na chama cha siasa kazi kubwa ni kulinda ustawi wa wananchi, hivyo chadema hakina kosa lolote la kisiasa sababu lengo kubwa la chama hicho si kutekeleza sera za chama tawala bali kuonesha ubovu wa sera za chama tawala kwa kuzilinganisha na ubora wa sera zao. practically ndo maana sera za CCM zimesababisha taifa letu liwe na wakati mgumu na hasa maisha magumu kwa watanzania.
Hivi taifa kama haliwezi kupiga hatua kimaendeleo ninani wakulaumiwa, je ni CHADEMA au ni chama Tawala pamoja na serikali yake? ktk taifa lolote ugumu wa maisha imekuwa ni kura ya turufu ya kukiondoa chama tawala madarakani kwa sababu ya kushindwa kudeliver kwa wananchi.
jambo jingine nawaomba watanzania wenye uelewa kama wengine ni wafahamishe kuwa kujua ni lini tunakuwasema chama kinafanya kazi ya kisiasa. si wakati wa kampeni tu, kazi za siasa huendelea tena kwa kasi zaidi na ali zaidi baada ya uchaguzi. hii ni kwasababu chama pinzani lazima kiwafundishe wananchi amabao kwauelewa wao wanashindwa kujielewesha kuwa pamoja na kuwa hawajawachagua ndiyo maana wanapata matatizo ya kiuchumi.
Siasa huendana timing, kwa hili chadema ina timing nzuri kwasababu hali ya maisha ni ngumu. hizi ni mbinu za kisiasa ndugu zangu.
ktk hili huwezi9 kusema kwamba CHADEMA INALETA VURUGU HATA KIDOGO, NINI MAANA YA VURUGU? NA AMANI? JE MANI INATOWEKA PALE MTU UNAPOMFAHAMU MWIZI WAKO? NI KWELI KWASABABU UKIWA RAFKI YANGU NIKAJA KUGUNDUA KUWA UNATEMBEA NA MKE WANGU, LAZIMA NITANGAZE UADUI NI KUCHUKULIE HATUA ZA KISHERIA, CHADEMA INAFANYA HIVO INAWAELIMISHA WANANCHI KUJUA HALI HALISI YA TZ, ELIMU DHIDI YA HAKI ZAO,MATUMIZI YA RASLIMALI ZAO, UFISADI ILI WWANANCHI HAO WACHAGUE LA KUFANYA
tulitegemea raisi atatoa majibu ya matatizo ya wananchi. hakufanya hivo. Lakini nihitishe kawjambo moja tu, tulikubali mfumo wa vyama vingi tuache vyama hivyo vifanye kazi zake za kisiasa.