Hali halisi ya elimu ktk sehemu nyingi za nchi ni kama inavyoonekana ktk picha hii hapa chini. Nakumbuka Rais Kikwete alisema na kuahidi kwamba ktk miaka 5 ijayo kila mwanafunzi wa sekondari atakuwa na kompyuta yake. Je kama vyumba vya madarasa ni tatizo, hizo kompyuta zitawekwa chini au??? Tafakari
Wanafunzi wa shule ya sekondari Rebu katika wilaya ya Tarime mkoani Mara wakifanya mtihani wao wa kumaliza muhula chini ya miti kutokana na shule kukabiliwa na uhaba wa vyumba vya madarasa kama walivyokutwa mwishoni mwa wiki. (Picha na Shadrack Sagati - Habari Leo).
Wanafunzi wa shule ya sekondari Rebu katika wilaya ya Tarime mkoani Mara wakifanya mtihani wao wa kumaliza muhula chini ya miti kutokana na shule kukabiliwa na uhaba wa vyumba vya madarasa kama walivyokutwa mwishoni mwa wiki. (Picha na Shadrack Sagati - Habari Leo).