figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
View attachment 295031
Rais Kikwete akiwa na wanafunzi raia wa Tanzania wanaosoma nchini Kenya (Tanzania students association of Kenya (TASAKE))
Rais Kikwete pia amewaasa watanzania kuwa wasijisahau badala yake warudi nchini na kuwekeza.
GOOD...! Sometimes we supposed to have free mind decision, ah sio kila mara tubanwe na siasa tu.
Good Mweshimiwa Rais wa Tanzania Dr Jakaya Mrisho Kikwete....
Japokuwa hadi sasa bado hujavunja baraza la mawaziri sasa sijui imekaaje hii..?
Nchi itayumba ngoja kwanza waendelee kutoa maelekezo ya serikali katika wizara! coz mida kama hii ndo wale watendaji mafisadi hufanya yao na kuacha balaa kwa rais ajaye na kuleta tuhuma dhidi ya CCM(Chama imara!) KUWA makini kama raia mwenye kujua tamaa ya fedha..
Mkuu nahisi kuna hatihati ya wafanya kazi wa serikali kucheleweshewa mishahara mwezi wa kumi na moja.....Hatari
GOOD...! Sometimes we supposed to have free mind decision, ah sio kila mara tubanwe na siasa tu.
Good Mweshimiwa Rais wa Tanzania Dr Jakaya Mrisho Kikwete....
Japokuwa hadi sasa bado hujavunja baraza la mawaziri sasa sijui imekaaje hii..?