Rais Kikwete azindua Jengo la Kuhifadhi Madawa la Hospitali ya CCBRT

Mr Chin

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
4,625
1,024
[h=3] [/h]
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen. Kulia ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Mhe Seif S. Rashid na katikati yao ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salam Mhe Saidi Meck Sadick.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa kwa Mtendaji Mkuu wa CCBRT Bw. Erwin Telemans alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete viongozi mbalimbali alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wadau alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.



Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa mabalozi wa nchi wafadhili alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mabalozi alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa mabalozi akiwa ameongozana na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa na mabalozi na watoto wanaopata matibabu wakikata utepe kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen. Kulia ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Mhe Seif S. Rashid

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifunua pazia kuashiria kufunguliwa jengo l bohari ya madawa huku akishuhudiwa na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa

Rais Kikwete akitembezwa katika bohari ya madawa ya hospitali ya CCBRT ambayo ni ya kisasa kabisa

Rais Kikwete akitembezwa katika bohari ya madawa ya hospitali ya CCBRT ambayo ni ya kisasa kabisa



Rais Kikwete akitembezwa katika bohari ya madawa ya hospitali ya CCBRT ambayo ni ya kisasa kabisa



Rais Kikwete akinyunyizia maji mmea a Mbuyu uliopandwa kama kumbukumbu

Rais Kikwete akifunua kitambaa chenye jina la aina ya huo mbuyu


Rais Kikwete akipokea mchoro wa kitambaa uliotengenezwa na kinamama waliopona ugonjwa wa Fistula



Watendaji na wagonjwa wa Fistula wakishuhudia



Rais Kikwete akiwa na mtoto ambaye mama yake anatobiwa Fistula hospitalini hapo

Rais Kikwete na wadau wengine wakipozi kwa furaha na kinamama walio katika matibabu ya Fistula kutoka kila pembe ya Tanzania

Rais Kikwete akiwapongeza kinamama hao kwa kuwa mashujaa na kujitokeza kutibiwa ugonjwa wa Fistula ambao unatibika

Rais Kikwete akifurahi na mzazi na mtoto anayesubiri kufanyiwa upasuaji wa mdomo-sungura

Rais Kikwete akiongea na mtoto ambaye baada ya kupata matibabu ya kuondoa mtoto wa jicho hapo CCBRT ameweza kuona kwa mara ya kwanza maishani mwake

Rais Kikwete na wote wakimshangilia mtoto ambaye baada ya kupata matibabu ya kuondoa mtoto wa jicho hapo CCBRT ameweza kuona kwa mara ya kwanza maishani mwake



Rais Kikwete akimpongeza mtoto ambaye baada ya kupata matibabu ya kuondoa mtoto wa jicho hapo CCBRT ameweza kuona kwa mara ya kwanza maishani mwake

Sehemu ya kupumzikia iliyopo karibu na hio canteen mpya iliyozinduliwa

Sehemu ya kupumzikia iliyopo karibu na hio canteen mpya iliyozinduliwa
Mtendaji Mkuu wa CCBRT Bw. Erwin Telemans akiongea katika sherehe za kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen

Baadhi y wageni waalikwa na wafadhili wa mradi huo

Mshauri wa ufundi wa hospitali ya CCBRT Dkt. Brenda D'Mello akitoa maelezo ya shughuli za hapo




Sehemu ya kupumzikia iliyopo karibu na hio canteen mpya iliyozinduliwa

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Mhe Seif S. Rashid

Rais Kikwete akitoa hotuba yake ya kuzindua majengo hayo

Rais Kikwete akitoa hotuba yake ya kuzindua majengo hayo

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipongezwa kwa hotuba na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa baada ya kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipongezwa kwa hotuba na Mtendaji wa Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Bw. Erwin Telemans baada ya kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen

Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa akimshukuru Rais Kikwete kwa kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen

Rais Kikwete, Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa, Waziri wa Afya na Mtendaji Mkuu baada ya kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen



Karibuni vinywaji baridi waheshimiwa...."Anasema mmoja wa wahudumu

Rais Kikwete akiongea na mabalozi mbalimbali

Rais Kikwete na wadau wa hospitali ya CCBRT katika picha ya pamoja

Rais Kikwete na watendaji wa hospitali ya CCBRT katika picha ya pamoja

Rais Kikwete na wafadhili wa hospitali ya CCBRT katika picha ya pamoja

Rais Kikwete na wajumbe wa Bodi ya hospitali ya CCBRT katika picha ya pamoja

Rais Kikwete akiagana na Balozi wa Ujerumani na mabalozi wengine baada ya sherehe hiyo.
 
Back
Top Bottom