Rais Kikwete awasili mjini Blantyre, Malawi kushiriki mazishi ya Mutharika

Fedha zetu zinatumika vibaya sana,kwani lazima aende yeye? Kwanin asimtume hata balozi akatuwakilishe? Hv troop analosafili nalo si wote sisi ndio tunawalipa? Vasco plz heshimu fedha zetu,tunaumia kodi tunakatwa nyingi sana!
 
Huyu wazazi walikosea angeitwa Safari Mrisho Kikwete kutwa kiguu na njia hivi ameshawahi kutulia nchini mwake hata wiki mbili kweli
 
Nilikuwa simuiti vasco sasa nimeamini ni vasco da gama kweli kabisa yaani ni vasco da gama kabisaaaa!
 
khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee afanye nini wakati wabunge wake ni wanafiki ati hawana imani na waziri mkuu. What a stupid idea, wanatakiwa wasiwe na imani na rais sio waziri mkuu pambaf kabisa.
 
Hata kama ataamua sasa kwamba anataka akumbukwe kwa jambo fulani, muda uliobakia, na kwa jinsi nchi yetu hii ilivyooza kiutendaji, hawezi kukamilisha mapambano ya kulifanikisha jambo hilo katika kipindi cha miaka mitatu hivi na ushee alichobakisha Ikulu.

Na pengine mwenyewe ameshalijua hilo, na ndiyo maana ameamua kuendelea kuwa rais wa kawaida kabisa – rais anayekuwa mgeni rasmi kwenye hafla mbalimbali – rais anayehudhuria mikutano ya nje na ya ndani – rais anayeendesha vikao mbalimbali vya baraza la mawaziri na vya CCM – rais anayepokea wageni Ikulu – rais anayehudhuria misiba mbalimbali nk!---by Johson Mbwambo
 
Kwenye Press release ya Ikulu leo Kurugenzi ya mawasiliano wanasema hivi:

"....Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye alikuwa katika ziara ya kikazi nchini Brazil, amerejea jana Aprili 21, 2012 jioni. Hajaonana wala kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu, Mhe. Pinda.
Hivi sasa Mhe. Rais anasubiri kupata taarifa rasmi kutoka Bungeni Dodoma".


Sasa ningeomba kuuliza, rais anasubiri taarifa ya bunge au yuko safarini (tena) huko Malawi? kwa taarifa hiyo ya Ikulu rais hana habari kuhusu nini kinaendelea hapa nchini maana 'hajafanya mazungumzo na waziri mkuu". Yaani amefika nchini na kuondoka bila kujua chochote? Na anasubiri nini kama hajaongea na PM?

Binafsi naona hapa washauri wa rais wamemwangusha. Inakuwaje rais ahairishe safari kutokana na kifo cha mcheza sinema (Kanumba) lakini sio wakati nchi iko kwenye hali tete kama sasa? Kwa nini asimtume Makamu wa rais amwakilishe kwenye hayo mazishi? Priority yake ni ipi? Tanzania first? au foreign leaders first? Kama ni kweli yuko Malawi italeta tafsiri mbaya sana.

Kwa huyu siwezi kushangaa hata kidogo maana kama mabomu ya mbagala yalipolipuka na watz wengi walipoteza maisha na hakuliona hilo na kusafiri ila kifo cha mtu mmoja kanumba akaahairisha safari sijui kwanini tusishindwe kumshangaa
 
Wote mnaomshangaa JK hamjui hulka ya WAKWERE wapatapo nafasi. Pale msoga utawakuta wanahangaika kulima mahindi na mtama, wakishavuna tu watachezea ngoma nafaka yooote baada ya mwezi utawaona wanaenda dukani kwa mchaga kukopa unga robo kilo.
Pale Chalinze njia panda utawakuta vijana mchana wa jua kali wanahangaika kuuza korosho, mikate, vinu nk jioni wanajazana bar hadi wanakosa hela ya kununulia vitafunwa asubuhi.

Pale mdaula utakuta mtu anauza shamba akipata pesa anaanza kufululiza kuoa anaoa hadi pesa imeisha.

Hao ndio wakwere. Msimshangae Jakaya
 
Huyu jamaa JK kwa kula bata anatisha, akiwa Malawi lazima atafanya maombi utokee msiba sehemu nyingine duniani aende. Hapa alishindwa kwenda kumzika mkuu wa jeshi mstaafu akatuma mwakilishi lakini Malawi hataki kutuma mwakilishi
 
kinachomlaza malawi ni nini? malawi si angeenda kesho asubuhi akazika na kurudi
 
Si mnajua Rais wetu mtu wa watu jamani? Hakosi misiba ilimradi tu kuwe na vyombo vya habari aweze kuuza sura

Awaambie watu ni msiba wetu wote jamani! Ila ule wa mbagala na G/mboto haukuwa wa kwetu wote
 
Huyu jamaa JK kwa kula bata anatisha, akiwa Malawi lazima atafanya maombi utokee msiba sehemu nyingine duniani aende. Hapa alishindwa kwenda kumzika mkuu wa jeshi mstaafu akatuma mwakilishi lakini Malawi hataki kutuma mwakilishi

na ameagia maiti uwanaja wa ndege..kisha yeye akapanda ya kwake na kwenda malawi
 
malengo ya kikwete ni kwamba mfe wote ahudhurie mazishi kisha abaki peke yake.......hana time na swala la maendeleo
 
Back
Top Bottom