Rais Kikwete awasili mjini Blantyre, Malawi kushiriki mazishi ya Mutharika

Mbona kama wamepanic? Kuna press release nyingine ya kukanusha habari tuliyoitegemea ya Tanzania Daima, kaaazi kweli kweli
 
Tuombe Mungu tu, asije anguka ghafla kama enzi zile za ufunguzi wa kampeni kwa sababuza uchovu..angemtuma hata makamu wake jamani....kura za Watz zinafanya kazi mlomtuma
 
we mwache tu sasa utaamini kwamba serikali ya nchi hii sio sikivu makamu wa raisi yupo wapi kwani hawezi kwenda dr shein kuiwakilisha muunganano? Naamni sasa kwamba hakuna waziri atakae jiuzulu hata mmoja mungu itazame tanzania kweli mungu anakazi "wabariki viongozi wake" ni moja ya maneno katika wimbo wa taifa

si rahisi kumwelewa jk busara zake ladba wazee wa dar, pinda, mwema na wana-ccm wenzake!
 
Kwenye Press release ya Ikulu leo Kurugenzi ya mawasiliano wanasema hivi:

"....Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye alikuwa katika ziara ya kikazi nchini Brazil, amerejea jana Aprili 21, 2012 jioni. Hajaonana wala kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu, Mhe. Pinda.
Hivi sasa Mhe. Rais anasubiri kupata taarifa rasmi kutoka Bungeni Dodoma".


Sasa ningeomba kuuliza, rais anasubiri taarifa ya bunge au yuko safarini (tena) huko Malawi? kwa taarifa hiyo ya Ikulu rais hana habari kuhusu nini kinaendelea hapa nchini maana 'hajafanya mazungumzo na waziri mkuu". Yaani amefika nchini na kuondoka bila kujua chochote? Na anasubiri nini kama hajaongea na PM?

Binafsi naona hapa washauri wa rais wamemwangusha. Inakuwaje rais ahairishe safari kutokana na kifo cha mcheza sinema (Kanumba) lakini sio wakati nchi iko kwenye hali tete kama sasa? Kwa nini asimtume Makamu wa rais amwakilishe kwenye hayo mazishi? Priority yake ni ipi? Tanzania first? au foreign leaders first? Kama ni kweli yuko Malawi italeta tafsiri mbaya sana.

ni kweli ila kwa mujibu wa taarifa za JF alitua DODOMA jana na kuzungumza noa
 
Sina hakika kama Bingu ni member wa freemason.
Mtashangaa anawasilisha 100mil. Kama rambi rambi
Kwenye Press release ya Ikulu leo Kurugenzi ya mawasiliano wanasema hivi:

"....Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye alikuwa katika ziara ya kikazi nchini Brazil, amerejea jana Aprili 21, 2012 jioni. Hajaonana wala kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu, Mhe. Pinda.
Hivi sasa Mhe. Rais anasubiri kupata taarifa rasmi kutoka Bungeni Dodoma".


Sasa ningeomba kuuliza, rais anasubiri taarifa ya bunge au yuko safarini (tena) huko Malawi? kwa taarifa hiyo ya Ikulu rais hana habari kuhusu nini kinaendelea hapa nchini maana 'hajafanya mazungumzo na waziri mkuu". Yaani amefika nchini na kuondoka bila kujua chochote? Na anasubiri nini kama hajaongea na PM?

Binafsi naona hapa washauri wa rais wamemwangusha. Inakuwaje rais ahairishe safari kutokana na kifo cha mcheza sinema (Kanumba) lakini sio wakati nchi iko kwenye hali tete kama sasa? Kwa nini asimtume Makamu wa rais amwakilishe kwenye hayo mazishi? Priority yake ni ipi? Tanzania first? au foreign leaders first? Kama ni kweli yuko Malawi italeta tafsiri mbaya sana.
 
Hivi kulikuwa na ulazima wa yeye kwenda?! ... si angewakilishwa tu na Makamu wa Rais si anatosha! .... na maanisha yule jamaa yetu yule mtaalamu wa kuzindua na kukata utepe kwa kutumia mkasi!

url
 
Kwenye Press release ya Ikulu leo Kurugenzi ya mawasiliano wanasema hivi:

"....Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye alikuwa katika ziara ya kikazi nchini Brazil, amerejea jana Aprili 21, 2012 jioni. Hajaonana wala kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu, Mhe. Pinda.
Hivi sasa Mhe. Rais anasubiri kupata taarifa rasmi kutoka Bungeni Dodoma".


Sasa ningeomba kuuliza, rais anasubiri taarifa ya bunge au yuko safarini (tena) huko Malawi? kwa taarifa hiyo ya Ikulu rais hana habari kuhusu nini kinaendelea hapa nchini maana 'hajafanya mazungumzo na waziri mkuu". Yaani amefika nchini na kuondoka bila kujua chochote? Na anasubiri nini kama hajaongea na PM?

Binafsi naona hapa washauri wa rais wamemwangusha. Inakuwaje rais ahairishe safari kutokana na kifo cha mcheza sinema (Kanumba) lakini sio wakati nchi iko kwenye hali tete kama sasa? Kwa nini asimtume Makamu wa rais amwakilishe kwenye hayo mazishi? Priority yake ni ipi? Tanzania first? au foreign leaders first? Kama ni kweli yuko Malawi italeta tafsiri mbaya sana.
Ilete tafsiri mbaya mara ngap ndugu yangu??? we tafsiri vibaya tu jamaa yupo msibani sasa hivi. Huyu bado anaona watanzania nimapumbafu ndo mana anaweza kujiachia hivi na kuleta mzaha hata panapomhitaji awe serious. Anasema hajapata taarifa, kwani akiwa nje hawasiliani na wenzake huku nchini???
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Kufa kufaana. Nyie mlidhani atakaa Dar wakati Dodoma inawaka moto? Isitoshe nani asiyetaka kulipwa hata kwa kufanya utalii kama Vasco bin Sindbad na shosti wake?
 
Magogoni harufu ya uchafu wa feri inamkera DK JK,,ha ha ha ha jamaaaaa ni nomaaaa mpiga pasi anakula poshoo tuuu
 
Hivi Asinge weza kuwakilishwa na Makamu wa Raisi na yeye kutulia kutafuta ufumbuzi wa hili linaloendelea kwasasa?Hata kwa afya kusafiri hivi siyo vizuri achilia mbali gharama.
 
Back
Top Bottom