Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naona kampandisha cheo mpambe wake kanali kimario kuwa bregedi wa kubeba pochi za prezidaa m.kwer.e
Hata kwenye majeshi hawamo,inatisha,inabidi wazingatie mawaidha ya Mufti kuwa wasiitupe elimu dunia na kuangalia upande mmoja,watabaki kulalamika kila siku.
Huyu ni msaidizi wa karibu wa Rais. Mkuu wa msafara wa Rais ni Mkuu wa Protokali.ADC ni 'ceremonial' zaidi..Hivi mnadharau ADC kwa kuwa Ana Beba bag ...huyoo Ana kazi kubwa Sana ....anamwandalia Rais mambo mengi ..na ni Mkuu wa motorcade popote Rais alipo...na mengine mengi....anatumika pia kuangalia Usalama wake akishirikiana na maafisa wa Usalama .....kuacha hayo anatakiwa kuwa na Elimu ya field na utambuzi ...yaani uwezo wa kusoma mazingira haraka...na kuamua...hayo yote hayapatikani..bila mafunzo STAHIKI ......kimsingi cheo chake Huwa kanali...na pale ni Kama anatongoza kikosi Kizima...kwa kazi zake......
huwezi kupewa cheo bila kufanya mafunzo jeshini.....KIMSINGI KAMA UTARATIBU UTAFUATWA ..ATAKOMA KUWA ADC....Kwani kwa cheo cha Brigedia Sasa AdC ni jukumu dogo kwake atahitaji kupewa more roles jeshini....NI WAZI KARIBUNI RAIS ATAANZA KUONEKANA NA ADC MPYA.....HUYO ATARUDISHWA KAMBINI......
ADC WA RAIS MKAPA ( brig gen simuli )ALIPANDISHWA CHEO BAADA YA RAIS MKAPA KUMALIZA TU ...NAYE AMERUDI KAMBINI...
Nikitumia slogan ya book 7, mbona wengi wao ni wa Kaskazini, ina maana Mkuu wa Majeshi naye ni CDM?
Tiba
<br>Hongereni makanda. lakini mbona makamanda kama kina Sukambi Mahela, au kina Msindai, Mfikirwa, Msingiri, Mwaya, Masalamado n.k- walioshughulika kule Comoro hawamo? Amiri Jeshi tafadhali wakumbuke!!
Wanikumbusha utotoni kila mwenye nyota ni captainKwani Capt Komba ni Kanali?
Ukitumika 'u-kaskazini' mbona wataenda mbali.Majaji wa Mahakama Kuu wamejaa,Majaji wa Mahakama ya Rufaa wamo, Polisi usiseme,Jeshi la Magereza ndiyo majanga..
Swali la kizushi - mbona wakina Ibra wako watatu tu..??
Hata wewe umesema kama ana sifa, sasa wewe unadhani huyo Kimario ana sifa gani ya ziada zaidi ya huo upambe wake kwa M.k.w.e.r.e? Hebu zitaje basi kama wewe unazijua!
Vipi Kuhusu ndugu zetu wa Zanzibar, sijawaona akina Makame Kabisa hapa aisee, kulikoni jaman, na pia Majina ya wale walalamishi naona yako kama matatu tu, Elimu Dunia ni muhimu jaman pia as well.
All the best new Generals. Inaelekea jeshi limepanuka sana kiasi kwamba lina mahitaji mengi ya magenerali kwa kipindi chetu...hope so...
Sio kwamba alipenda kutupendelea akina sisi, ila alilazimika kuwapandisha kutokana na taaluma zao na utumishi wao jeshini. Ingekuwa ni zile teuzi zisizozingatia taaluma, angewajaza jamaa. Sasa subiri teuzi zile zije kwenye kumi na nane yake, atapiga vyeo majamaa hadi mnabaki kujiuliza vigezo! Bahati nzuri baadhi ya positions analazimika kwa kuwa anapelekewa list na wataalam, yeye anakuwa pale just for his ceremonial position... maofisa waliopandishwa vyeo ni pamoja na Kanali Denis Raphael Janga, Kanali Jason Nestor Musikula, Kanali Jackson King Mrema, Kanali Martin Amos Kemwaga, Kanali Joseph Cosmas Chengelela, Kanali Martin Nikubuka Mwankanye, Kanali Harold Kidundi Mziray, Kanali Emmanuel Peter Kapesa na Kanali Mwita Wambura Isamulyo.
Wengine ni Kanali Francis Asilia Njau, Kanali Pendo Uledi Kamungwele, Kanali Moses Adolph Shinyambala, Kanali Ibrahim Abdarahamani Kimario, Kanali Michael Garo Luwongo, Kanali Nelson Hosea Msanja,Kanali Blasius Kalima Masanja, Kanali Aloyce Damian Mwanjile, Kanali Rajabu Goma Hanti na Kanali Ignas Beatus Mubofu.
Pia wamo Kanali Dominic Basil Mrope, Kanali Hamis Issa Majumba, Kanali Salehe Omari Semtaua, Kanali Henry Sweko Kamundo, Kanali Sylivester Msafiri Minja, Kanali John Bangantagoka Bishoge, Kanali Anselm Shigongo Bahati, Kanali Robinson Mboli Mwanjela na Kanali Kaisy Philip Njelekela.Hapa katupendelea akina sisi