Alisema ana majina ya wauza unga tena kwa majina je kayafanyia nn?wewe naona umepotea njia hapa. otherwise nenda kachukue posho kwa kagame. unafikiri hiyo kauli imewalenga akina nani kama si wanyarwanda waliojazana kule ngara? pole sana ndugu
Siyo kazi ya Rais kuwataja wauza madawa ya kulevya, ni kazi yako wewe unaobwabwaja kusaidia kutoa taarifa za hao wauzaji kwani wewe mtanzania kama Rais.
Siyo kazi ya Rais kuwataja wauza madawa ya kulevya, ni kazi yako wewe unaobwabwaja kusaidia kutoa taarifa za hao wauzaji kwani wewe mtanzania kama Rais.
Ee bwana wee, kumbe inawezekana hii? Sasa kwanini Kikwete alikuwa anafanya kama vile hataki?
Unajua Kikwete na hasa Pinda na viongozi wengi nchini wanapenda sana kutumia neno "nimechoka... tumechoka... kuanzia leo this and that " Nchi za watu ukisema nimechoka utaulizwa ina maana ulikuwa unavumilia makosa/maovu? Ulikuwa hutimizi wajibu wako?hizo kauli tusha zizoea toka jk anaingia madarakani.ndio kajua leo kuwa kuna haja ya kufanya hayo??mh!! safari bado ndefu sana.
Hizi sio sababu za msingi za kushindwa kujihami dhidi ya uasi na vita visivyotarajiwa.
Siyo kazi ya Rais kuwataja wauza madawa ya kulevya, ni kazi yako wewe unaobwabwaja kusaidia kutoa taarifa za hao wauzaji kwani wewe mtanzania kama Rais.
Kaka!
Kila jambo na wakati wake.