chokambayaa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 543
- 69
Ivi kama ulikuwa mtumishi let say Mchumi, Afisa habari wa halmashauri afu ukateuliwa u DC then baada ya miezi saba unapigwa chini unaweza kurudia kazi yako?
hii ya kijana aliyemkata mtama warioba na kumpiga baba yake kuwa mkuu wa wilaya imenisikitisha sana, ila kali kuliko ni ile ya Zelothe, kutoka ukamanda hadi umangimeza na vyeo vya bwerere
Mbaya sana
haa haa angepewa ukuu wa mkoa!:A S 20::A S 20: Makonda Kumkashifu Lowassa kachukua ukuu wa Wilaya angempiga kibao je?
Juazi nilimsikia Rais wakati akizindua sera mpya ya elimu akisema kwamba madaraka yake ya kuteua yataisha pale atakapoenda uwanja wa Taifa kumkabidhi madaraka rais mpya.Ukomo utaisha siku akiondoka madarakani ndo utawala wa mwisho wa ccm.
Ivi kama ulikuwa mtumishi let say Mchumi, Afisa habari wa halmashauri afu ukateuliwa u DC then baada ya miezi saba unapigwa chini unaweza kurudia kazi yako?
Mtasema sana tunawajuwa, hamna zaidi ya hayo matusi yenu. Mnaotumika mnajijuwa, mnafua mpaka nepi za junior, mnafikiri hatujuwi?
CCM inaongoza nchi nzima yenye watu zaidi ya million 45 na si Ufipa tu. Fikiri.
Sisi tunadunda.
Wakuu, salaam... Hivi kwani hakuna ukomo wa Rais anayemaliza muda wake kufanya teuzi? Kwanini Rais anayemaliza muda wake aendelee kufanya teuzi hadi muda huu? Sheria zinasemaje? Je huu si udhaifu mkubwa wa kikatiba? Kwa nini Rais aliyepo amtengenezee serikali Rais anaye?
hii ya kijana aliyemkata mtama warioba na kumpiga baba yake kuwa mkuu wa wilaya imenisikitisha sana, ila kali kuliko ni ile ya Zelothe, kutoka ukamanda hadi umangimeza na vyeo vya bwerere
Mbaya sana
amemsahau Mrisho mpoto na Aunt Ezekiel