Sr. Magdalena
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 803
- 472
Kuna jambo moja ambalo kila siku analisahau kulifanya JK na ambalo tutaendelea kumkumbusha nalo ni Kumuhamisha Philemon Luhanjo kutoka Ukatibu Mkuu Kiongozi hadi kwenye Payroll ya Pensheni ya Wastaafu! Hili kila siku analisahau. Anyway tutaendelea kumkumbusha!
Hang over ya x-mas bado inacheza kwenye damu, hahaha!