Sigma
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 5,006
- 1,254
You made my day Litvinienko, are you Russian?
PHD ya Ukweli.
Kumbe ubongo wako Rejao una Gia ya Rivas tu..!!!!!!!!!.
You made my day Litvinienko, are you Russian?
PHD ya Ukweli.
Kumbe ubongo wako Rejao una Gia ya Rivas tu..!!!!!!!!!.
We wajua ni fyatu, ila bosi wake alomtuma jamvini anamuona kama lulu.Katika watu fyatu huyu Rejao ni mmoja wapo!
Nyie si washikilia mapembe tu wakati wengine wakikamua kwa mnavyokenulia wengine nilitegemea kusikia Rejao, ritz, FF au mzee angalau mmoja wenu yumo kwenye list.Hata Slaa alikuwa makapi ya CCM..just to remind you
jk is neither a politician nor a civilian leader he is an army officer who was given political posts and wants to be loved. He is lostwametupwa jalalani na wananchi, jk kaenda kuwaokota kwenye dampo! Kweli jk ni rais.
Fe Lady don't tempt our president. He is known to be weak to your kind.JK kanisahau dah,si angenipeleka hata Syria au Yemen jamani.Mlioteuliwa mkaiwakilishe Tanzania vyema.
You have a pathological condition. See a psychiatristHata Slaa alikuwa makapi ya CCM..just to remind you
PHD ya Ukweli.
Kumbe ubongo wako Rejao una Gia ya Rivas tu..!!!!!!!!!.
Nimewafurahia Dr. Batilda Burian na Dr. Kamala.