William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,374
- Ndio maana tunasema tunahitaji katiba mpya makini maana tukiweza kuwa nayo hawa walioteuliwa wangetakiwa kupitia kamati ya Bunge kupitishwa, Wallahi tena wanaofaa hapo ni wawili tu, Mujuma na Shamin, wengine wote ni makatibu kata tu, I mean bongo bwana yaani bora liende tu!
- People the Word here ni Katiba Mpya!
William @..NYC,USA:
- People the Word here ni Katiba Mpya!
William @..NYC,USA: