Rais Kikwete ateua mabalozi wapya. Marmo, Batilda na wengine ndani!

- Ndio maana tunasema tunahitaji katiba mpya makini maana tukiweza kuwa nayo hawa walioteuliwa wangetakiwa kupitia kamati ya Bunge kupitishwa, Wallahi tena wanaofaa hapo ni wawili tu, Mujuma na Shamin, wengine wote ni makatibu kata tu, I mean bongo bwana yaani bora liende tu!

- People the Word here ni Katiba Mpya!


William @..NYC,USA:
 
- Ndio maana tunasema tunahitaji katiba mpya makini maana tukiweza kuwa nayo hawa walioteuliwa wangetakiwa kupitia kamati ya Bunge kupitishwa, Wallahi tena wanaofaa hapo ni wawili tu, Mujuma na Shamin, wengine wote ni makatibu kata tu, I mean bongo bwana yaani bora liende tu!

- People the Word here ni Katiba Mpya!


William @..NYC,USA:
JK karidhia katiba mpya lakini haya mambo muhimu ya kuyajadili kwenye katiba mpya hataki.
Ukumbuke hii ni sehemu ya kumpunguzia rais power na JK hayuko tayari kwa hilo.
Sijui kajiandaa kuwa presedent wa maisha?
 
So I see.
Kwa hiyo cream ya CCM ni kina Kikwete,
Cha kulialia Pinda, Wasira, Jairo, Nape, Makamba....
Endelea...
My point ni kwamba, hao mnaowaona ni makapi..ni wazuri hata kuliko Slaa aliyekuwa kapi hapo awali..na ukiangalia hiyo list ina phd holderz wa ukweli siyo phd za masuala ya dini!
 
- Ndio maana tunasema tunahitaji katiba mpya makini maana tukiweza kuwa nayo hawa walioteuliwa wangetakiwa kupitia kamati ya Bunge kupitishwa, Wallahi tena wanaofaa hapo ni wawili tu, Mujuma na Shamin, wengine wote ni makatibu kata tu, I mean bongo bwana yaani bora liende tu!

- People the Word here ni Katiba Mpya!


William @..NYC,USA:

Wewe vipi,unakinzana na hali halisi
 
- Ndio maana tunasema tunahitaji katiba mpya makini maana tukiweza kuwa nayo hawa walioteuliwa wangetakiwa kupitia kamati ya Bunge kupitishwa, Wallahi tena wanaofaa hapo ni wawili tu, Mujuma na Shamin, wengine wote ni makatibu kata tu, I mean bongo bwana yaani bora liende tu!

- People the Word here ni Katiba Mpya!


William @..NYC,USA:

Mkuu umefunguka kweli kweli!

Bila Katiba mpya yenye kuweka mbele maslahi ya Taifa, "maigizo" na "mazingaombwe" haya yataendelea tu.
 
Nani asiyejua kwamba uchaguzi uliopita ulitawaliwa na rushes na hill za kukomoana? Mbona Hillary Clinton alishindwa kura za maoni akateuliwa kuwa waziri? Kaka kazi ya siasa kuna kubadilishwa majukumu na kushindwa uchaguzi silo kigezo cha ubovu wa Kiongozi. Kwani hao walioshinda wana ubora upi?

Umesema kweli maana hata huyo bosi wao inasemekana kashinda lakini hana ubora wowote kulinganisha na kichwa slaa
 
Mkuu EL kwani bado ana influence kwa JK tena?kiasi ya kuathiri/kuingilia power yake ya uteuzi?

Mkuu Jk ni remote, mapacha watatu wakiongozwa na EL ndio wenye Influence kubwa kwenye serikali hii. Kumbuka ni wao, na kwa gharama yao ndiyo waliomwezesha kuingia magogoni. Ukitaka kujua ukweli rejea kauli za buraza K kuhusu ufisadi na action taken on relation to ufisadi.
 
My point ni kwamba, hao mnaowaona ni makapi..ni wazuri hata kuliko Slaa aliyekuwa kapi hapo awali..na ukiangalia hiyo list ina phd holderz wa ukweli siyo phd za masuala ya dini!
Leo haukwenda kutapisha vyoo nini? na lile gari lenu la nyonya nnya..?
 
Malisa na wenzake wasahau hivi vyeo wataishia makelele tunataka vijana vijana haya wanatoka waee wanaingia wazee kazi kwenu uvccm
anzisheni nchi yenu na nyie mjichague jamani mtaishia kupata uwakili tu kwenye mikono ya majaji
 
My point ni kwamba, hao mnaowaona ni makapi..ni wazuri hata kuliko Slaa aliyekuwa kapi hapo awali..na ukiangalia hiyo list ina phd holderz wa ukweli siyo phd za masuala ya dini!

3.jpg
custom_name_congratulations_phd_card-p137422218283970646q6ay_400.jpg

PHD ya Ukweli.
Kumbe ubongo wako Rejao una Gia ya Rivas tu..!!!!!!!!!.
 
Mbona nilisikia hata wakina Marsha walikuemo? au amewaacha?
Kumbe ina maana nchi zote hizi hatukuwa mabalozi kwao?
 
Naupongeza uteuzi wa Mabalozi wapya uliofanywa na Rais Kikwete na kira gazes TBC1 hivi punde.

--------

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, amewateua wafuatao kuwa Mabalozi:-

i) Mhe. Phillip MARMO, ameteuliwa kuwa Balozi nchini CHINA. Kabla ya hapo Mhe. Marmo alikuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge.

ii) Dkt. Deodorus B. KAMALA, ameteuliwa kuwa Balozi nchini BELGIUM. Kabla ya hapo Mhe. Kamala alikuwa Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki.

iii) Dkt. Batilda S. BURIAN, ameteuliwa kuwa Balozi nchini KENYA. Kabla ya hapo Mhe. Dkt. Burian alikuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira).

iv) Dkt. Ladislaus C. KOMBA, ameteuliwa kuwa Balozi nchini UGANDA. Kabla ya hapo Dkt. Komba alikuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii.

v) Bibi Shamim NYANDUGA, ameteuliwa kuwa Balozi nchini MSUMBIJI. Kabla ya hapo Bibi Nyanduga alikuwa Naibu Mkuu wa Itifaki, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

vi) Bibi Grace J.E. MUJUMA, ameteuliwa kuwa Balozi nchini ZAMBIA. Kabla ya hapo Bibi Mujuma alikuwa Kaimu Mkurugenzi, Ushirikiano wa Kikanda (Regional Co-operation), Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

vii) Bwana Mohamed H. HAMZA, ameteuliwa kuwa Balozi nchini MISRI. Kabla ya hapo Bwana Hamza alikuwa Mkurugenzi wa Mambo ya Nje, ZANZIBAR, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

viii) Ndugu Ali A. SALEH, ameteuliwa kuwa Balozi nchini OMAN. Kabla ya hapo Bwana Saleh alikuwa Balozi Mdogo (Consul General) nchini Dubai.

2. Uteuzi huu unaanzia tarehe 12 Oktoba, 2011. Wataapishwa tarehe 19 Desemba, 2011 saa 03.00 Asubuhi.

Masikini MAPURI, Mnamkumbuka huyu jamaa alikuwa Katibu wa CCM na vilevile waziri wa Ulinzi nadhani vile aliondoka na ile Kashfaa ya Kupigwa Wapiga picha na waandishi kwenye lile sakata la Nyumba za Magereza Ukonga
 
Back
Top Bottom