Mods haya si matusi kwa mkuu wa nchi?
Kumuita mtu mpuuzi sio kumtukana bali ni sifa anayopewa kwa kutokuwa makini!!!
Mods haya si matusi kwa mkuu wa nchi?
Kuteuliwa kwa Batilda ilikuwa lazima kutokana shinikizo la EL.
Ingelikuwa ushindani wa ndani ya chama kimoja kinachomtafuta nominee for general election huo ubongo wako ningesema uko sahihi kaka, but for Batilda and others is another issue! Wananchi waliwahukumu kwa aibu huwezi kumlinganisha na Hillary aliyepigwa chini kwenye presidential nomination, not in general election! Pia jiulize kwanini Batilda hakupangiwa mbali? Kapelekwa Kenya ili awe karibu na Muungwana!
Kwa CCM huwa hakuna makapi, pamba ikichambuliwa mbegu zinakamuliwa mafuta mashudu yanakuwa chakula cha ng'ombe, ng'ombe akinya mavi yanakuwa mbolea and recycle goes on...Iv na mi ningepigwa chini ubunge kumbe ningekula shavu ka Marmo. Daaah ushwaiba nchi hiii balaaa. Sawa baba Ridhi kwa kendeleleza ushwaiba. Hongera kilaza Marmo. Wasalimie China cjui au Ubelgiji cjui!
punguzeni jazba.
Hata Slaa alikuwa makapi ya CCM..just to remind youKwa CCM huwa hakuna makapi, pamba ikichambuliwa mbegu zinakamuliwa mafuta mashudu yanakuwa chakula cha ng'ombe, ng'ombe akinya mavi yanakuwa mbolea and recycle goes on...
Kumuita mtu mpuuzi sio kumtukana bali ni sifa anayopewa kwa kutokuwa makini!!!
Batilda kapelekwa Kenya ili iwe rahisi kwake kuhudhuria kesi ya uchaguzi maana inategemewa kwisha 2014.
Hata Slaa alikuwa makapi ya CCM..just to remind you
Watanzania kweli kazi yetu ni kukosoa tu kila jambo, sasa mnataka rais hawachague kina nani ndiyo mfurahi?
Rais wetu ni mwema sana...
Vise versa its true!Tusker bariiidii. Jk bomba ee!!! Mbona mi namuona mchovu sana hata akiomba kazi ya h.boy kwangu mi simpi