Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Hii inadhihirisha mapungufu makubwa sana na ya hatari katika uongozi!!! Haiingii akilini mwangu kuwa Ikulu au TAMISEMI walikuwa hawana taarifa za kesi inayomkabili huyu Bwana!!! Kabla uteuzi mkubwa wa namna hii haujafanyika lazima kuna vetting inatanguliwa i.e kuwakagua watarajiwa wote mazuri na mabaya yao, then wanapima (what outweigh what??) kama ni uteuzi muhimu sana wanaenda hadi level ya nuclear family kujua vipi uongozi wako wa familia ukoje!!! Sasa kweli hakuna taaarifa za huyo mkuu wa Wilaya???!!! au watu wa vetting hawako makini??? It is a shame!!! Tumekwisha!!!